Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20211116-114848.jpg
 
hapo mkuu umembana korodani huyo nyang'au ila inawwzekana wakawa wanategemea vitu vingi kutoka nje kwasababu uzalishaji wao wa ndani ni hafifu
Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?

Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
 
Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?

Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
tuendelee kuwaenjoy tu
 
Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?

Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
Wazee wa karatasi hao tumeshawazoea
 
Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?

Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
Tatizo umeotoa data akilini mwako, sasa wewe unafikiria kile unachowaza katika ubongo wako basi ni kwel
 
Ndio swali nimekuuliza, huo mziko wa around 30m MT huwa unakwenda wapi? Kumbe population yenu ni ndogo. Pia mko na population masikini sana huko mashinani na mjini pia slums dwellers wakutosha ambao purchasing power hawana na pia sijui wata consume what type of imported merchandise in that bigger volume.

Kwenye viwanda ndio hamna kitu.. Nadhani hata Bongo ina export mizigo mingi na mikubwa kuliko Kenya. Kama Mngekuwa more industrialized kuliko wengine tungeona influx of your products kila mahali. Lakini tuna one nyie ndio mmezidiwa hadi mnazuia bidhaa za majirani kuingia kwenu ili kulinda soko la bidhaa zenu mnazotumia gharama kubwa zaidi za kiuzalishaji.
Maneno bila data ni sawa na upupu wa nguruwe tu
 
Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?

Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
Uduwanzi wanao tena si kidogo!!!walijifungia wakati wa COVID ila utaskia Jomo Kenyatta ilihudumia abiria wengi kuliko Julius Nyerere miaka miwili iliyopita!!!! Waacheni waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe!!!
 
Uduwanzi wanao tena si kidogo!!!walijifungia wakati wa COVID ila utaskia Jomo Kenyatta ilihudumia abiria wengi kuliko Julius Nyerere miaka miwili iliyopita!!!! Waacheni waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe!!!
Si midomo mnayo sana
 
Data gani nimetoa bibie? Mbona sijaweka data zozote hapa... Mimi naongelea authenticity za data alizotoa shoga yako hapa.
Jf sio ya meneno matupu, eti umekuja na assumptions zako hapa basi unafikiria kila mtu ni zezeta litakuunga mkono..
Lete data to support your claim
 
Back
Top Bottom