Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Dar port 15m tonnes/ year
Mombasa port 34m tonnes/ year
Mombasa port 34m tonnes/ year


Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?hapo mkuu umembana korodani huyo nyang'au ila inawwzekana wakawa wanategemea vitu vingi kutoka nje kwasababu uzalishaji wao wa ndani ni hafifu
tuendelee kuwaenjoy tuNi kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?
Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.





hii ikipigwa lipstik utakimbia mkuumama ngina aliwadanganya hvo 🤣🤣🤣Dar port 15m tonnes/ year
Mombasa port 34m tonnes/ year![]()
huyo msomali ndio kawadanganya 😂😂
Wazee wa karatasi haoNi kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?
Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.


tumeshawazoeaWazalendo wa Kenya hii...tell us who own those estates 😂😂



Tatizo umeotoa data akilini mwako, sasa wewe unafikiria kile unachowaza katika ubongo wako basi ni kwelNi kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?
Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
Maneno bila data ni sawa na upupu wa nguruwe tuNdio swali nimekuuliza, huo mziko wa around 30m MT huwa unakwenda wapi? Kumbe population yenu ni ndogo. Pia mko na population masikini sana huko mashinani na mjini pia slums dwellers wakutosha ambao purchasing power hawana na pia sijui wata consume what type of imported merchandise in that bigger volume.
Kwenye viwanda ndio hamna kitu.. Nadhani hata Bongo ina export mizigo mingi na mikubwa kuliko Kenya. Kama Mngekuwa more industrialized kuliko wengine tungeona influx of your products kila mahali. Lakini tuna one nyie ndio mmezidiwa hadi mnazuia bidhaa za majirani kuingia kwenu ili kulinda soko la bidhaa zenu mnazotumia gharama kubwa zaidi za kiuzalishaji.
Uduwanzi wanao tena si kidogo!!!walijifungia wakati wa COVID ila utaskia Jomo Kenyatta ilihudumia abiria wengi kuliko Julius Nyerere miaka miwili iliyopita!!!! Waacheni waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe!!!Ni kweli mkuu, hata Bongo hapa tunategemea vitu vingi tu kutoka nje. Tena Kwa hii miradi mikubwa inayoendelea ndio kabisa maelfu ya Tani yanaingia daily. Na bado mizigo mingi sana inayokwenda nchi za jirani. Sasa Kwa vyote hivyo bado bandari ya mombasa iipite ya Dar kwa mizigo?
Huoni hawa jamaa wanaka udwanzi flani kucheza na akili za watu.. Hiyo hata mtoto mdogo hawezi kukubali.
Si midomo mnayo sanaUduwanzi wanao tena si kidogo!!!walijifungia wakati wa COVID ila utaskia Jomo Kenyatta ilihudumia abiria wengi kuliko Julius Nyerere miaka miwili iliyopita!!!! Waacheni waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe!!!



Dwarf



Data gani nimetoa bibie? Mbona sijaweka data zozote hapa... Mimi naongelea authenticity za data alizotoa shoga yako hapa.Tatizo umeotoa data akili mwako, sasa wewe unafikiria kile unachowaza kwnye ubongo wako basi ni kwel
Jf sio ya meneno matupu, eti umekuja na assumptions zako hapa basi unafikiria kila mtu ni zezeta litakuunga mkono..Data gani nimetoa bibie? Mbona sijaweka data zozote hapa... Mimi naongelea authenticity za data alizotoa shoga yako hapa.