Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
😂😂😂 Heb taja daraja refu linalowezana na hili kutoka hapo KUnya landHilo nalo daraja![]()
😂😂😂 Heb taja daraja refu linalowezana na hili kutoka hapo KUnya landHilo nalo daraja![]()
Tatizo la kukua na city moja kwa nchi kubwa kama Tanzania..,Acha kujamba wewe leta Takwimu za wakazi wa hizo City zenu..
Komora hili jukwaa linakuzeesha kwa stress nakushauri chukua likizo upumzike kdg kuingia humu!!!Utanishukuru badae!!!😝Si midomo mnayo sana![]()
Kwa kutokupenda ukweli hamjambo 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hiki ni nini 😂😂😂, kwa kujifanya kichaa hujambo
Sawa, nataka ulete Takwimu ya hizo City zenu 😂😂😂Tatizo la kukua na city moja kwa nchi kubwa kama Tanzania..,
View attachment 2014006
View attachment 2014007
Millioni saba kwasababu taifa lina city moja nyote fukara kutoka vijijini mnakimbilia dar kutafuta maisha., sitashangaa mkifika millioni kumi before 2025! ufukara vijijini ni mingi mno 😂 😂 😂 😂 ., na yale vijiji mnaita city hazina uwezo wa kiuchumi kuwezesha watu wengi kufaulu., ni Dar mnaelekea nyoote, ona ufukara mlio mwaga jijini Dar., uswazi kote kote., nyumba za ovyo, njia ni vichochoro kwa sehemu nyingi sana! magari hayawezi kuingia ndani ndani, balaa!! ni aibu sana!Acha kujamba wewe leta Takwimu za wakazi wa hizo City zenu..
Sasa hicho umepost ni kitu gani ndugu yangu Don YF na huna hata aibu unataka ushindanishe sujui na kitu gani 😂😂, kujitia uchizi tu usiokuanaoKwa kutokupenda ukweli hamjambo 😂 😂 😂 😂 😂 😂
be my guest., everything about Kenya is in the public domain, mtu hakudanganyi..., changamka kaka 😂 😂Sawa, nataka ulete Takwimu ya hizo City zenu 😂😂😂
Kiswahili tu ndio mnajua., nothing meaningful beyond, ni blind patriotism tu, wengi hamuna uwezo wa kufikiria zaidi ya pua, kazi ni kupingana tu na kukurupuka bila kufanya utafiti mwafaka, poleni sana, mnatia huruma 😂 😂 😂 .,Sasa hicho umepost ni kitu gani ndugu yangu Don YF na huna hata aibu unataka ushindanishe sujui na kitu gani 😂😂, kujitia uchizi tu usiokuanao
Vingi vilikuwa vyuma vya sgr vya kaka yenu mchinaDanganyikan, port of Mombasa handled 34m metric tonnes of cargo in 2019. Out of these, only 4m metric tonnes went to Uganda. Am using Uganda coz it's the biggest client of Mombasa port. Sasa unadhani hizo tonnes zingine zinaendapi?
Natural calamity haziwezi tokea Tanzania forget about locust , drought, flood . Ndio maana hata mwaka huu walipredict kimbunga kutokea from the ocean matokeo yake wamekamatwa wapakistani wanaleta sijui heroine au cocaine. We are blessed TanzaniaGlobal warming is real. Bahari litafunika most of dar is a slum by 2100. Posta etc.
Let's hapa tulinganishe bro, nataka nikuonyeshe kitube my guest., everything about Kenya is in the public domain, mtu hakudanganyi..., changamka kaka 😂 😂
Uwezo wa kumfikiri.?😂😂😂, Vitu vinavyotazamika kwa macho vinahitaji uwezo wa kumfikiri.?😂😂😂, Kichaa weweKiswahili tu ndio mnajua., nothing meaningful beyond, ni blind patriotism tu, wengi hamuna uwezo wa kufikiria zaidi ya pua, kazi ni kupingana tu na kukurupuka bila kufanya utafiti mwafaka, poleni sana, mnatia huruma 😂 😂 😂 .,
Domo kayaKomora hili jukwaa linakuzeesha kwa stress nakushauri chukua likizo upumzike kdg kuingia humu!!!Utanishukuru badae!!!![]()

US Secretary of state Anthony Blinken huyo kawasili Kenya. Malazy malazy malazy endeleeni kulala.
Kwa nini hakuenda South Sudan au Somalia au hata Tanzania? Hadhi ya Kenya iko juu bro. Kubali ukatae Kenya iko ligi ya juu na hata Wazungu wanajua.Kwahyo hayo ni maendeleo Bro.?
Unachekesha kweli dwarf? Hiyo pic imepigwa mbali sana pics zinakuwa zimefinywa kdgDwarf
Km footbridge tu manake sio ufupi huo
Wewe hujui in few years east africa haitakuwa part ya continental shelf ya Africa bali itakuwa east african island.Duh hii kweli imetoka moyoni . Kweli huipendi Tanzania . Atleast ungesema ukweli inapendeza Sana. Vumilia tu mkuu