Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnapewa vigezo vya uchumi mkubwa, tulieni dawa iingie au na nyinyi mjibu kwa upande wa Mombasa kwamba kuna nn cha kupambana na mwanza zaidi ya uwepo wa mashoga na wauza mbususu kina komora096

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza is a local town, nje ya Tanzania haijulikani hata. Ni aibu kuifananisha na Mombasa which is an international city. Sister city ya mwanza is an unknown town kama mwanza tu, vijiji one side. Sister city ya Mombasa ni big cities kama Guangzhou, Seattle, Durban na zingine mingi. Tuko tu hapa kuwafurahisha kama majirani.😁😁😂
 
Mwanza is a local town, nje ya Tanzania haijulikani hata. Ni aibu kuifananisha na Mombasa which is an international city. Sister city ya mwanza is an unknown town kama mwanza tu, vijiji one side. Sister city ya Mombasa ni big cities kama Guangzhou, Seattle, Durban na zingine mingi. Tuko tu hapa kuwafurahisha kama majirani.
Mm ninachoamini kutoka moyoni kabisa ni kwamba Wakenya mnaujua ukweli sema tu hapa tunafurahishana tu, lkn on ground mnajua ukweli kwamba tuko mbele yenu kwa vitu vingi, haiwezekani muishi km mbwa alafu mje kushindana na watu walio pepo ndogo duniani hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm ninachoamini kutoka moyoni kabisa ni kwamba Wakenya mnaujua ukweli sema tu hapa tunafurahishana tu, lkn on ground mnajua ukweli kwamba tuko mbele yenu kwa vitu vingi, haiwezekani muishi km mbwa alafu mje kushindana na watu walio pepo ndogo duniani hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hilo zuzu. ana account kibao hapa JF. Hizo ni dalili za kutojiamini.
Jamaa anakaa hapa JF 24/7
 
Mwanza is a local town, nje ya Tanzania haijulikani hata. Ni aibu kuifananisha na Mombasa which is an international city. Sister city ya mwanza is an unknown town kama mwanza tu, vijiji one side. Sister city ya Mombasa ni big cities kama Guangzhou, Seattle, Durban na zingine mingi. Tuko tu hapa kuwafurahisha kama majirani.
Mombasa ni international city tangu lini?
 
Mm ninachoamini kutoka moyoni kabisa ni kwamba Wakenya mnaujua ukweli sema tu hapa tunafurahishana tu, lkn on ground mnajua ukweli kwamba tuko mbele yenu kwa vitu vingi, haiwezekani muishi km mbwa alafu mje kushindana na watu walio pepo ndogo duniani hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kutumia akili wachana na moyo iskume damu. Don't let your emotions fool you young man.
 
Jaribu kutumia akili wachana na moyo iskume damu. Don't let your emotions fool you young man.
Umeumwa na ukweli, Kenya kuna maisha magumu mno, huku mtaani nnapoishi siku hizi huwa tukitaka kumaanisha hali mbaya huwa tunatumia neno Kenya, Ethiopia au Burundi, mtu akiomba hela alafu hamna utasikia tunajibu "mwanangu Kenya" au "Ethiopia mwana" au ikiwa hali mbaya zaidi huwa tunajibu "Dah mwanangu Burundi mwana" hapo aliyeomba huwa anajua kwamba umemwambia huna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeumwa na ukweli, Kenya kuna maisha magumu mno, huku mtaani nnapoishi siku hizi huwa tukitaka kumaanisha hali mbaya huwa tunatumia neno Kenya, Ethiopia au Burundi, mtu akiomba hela alafu hamna utasikia tunajibu "mwanangu Kenya" au "Ethiopia mwana" au ikiwa hali mbaya zaidi huwa tunajibu "Dah mwanangu Burundi mwana" hapo aliyeomba huwa anajua kwamba umemwambia huna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishindwa kuleta bei ya basic commodities.😂😂😂 hadi wa leo bado unatafuta.
 
Hehehe Morocco iko kando ya Morogoro Road, nishaisema na side moja ni Oysterbay ambayo nimesema while side ingine ni uchafu wa Kinondoni.
Most of Kigamboni is crap - Mchina aliwaokolea na Avic Town.
Kariakoo niliisema - that's your shopping area. Just normal but not so high end.
Halafu mbona ujirudie? Si Kawe na Mbezi ni kitu moja jameni?

Wewe ni kama huijui Nairobi, yani nikaanza kulist maeneo kali ya Nairobi sitayamaliza. Shida yenu Wabongo mmezoeshwa na wanasiasa wenu kuhusu Kibera hadi ukikutana na Mtanzania yeyote kitu cha kwanza atakuambia tu ni Kibera. Reminds me of how North Korea kids are taught about how bad life is in South Korea by their regime. Yani inferiority complex ya Tanzania iko above the roof. Twende Nairobi
CBD
Upperhill
Milimani
Kilimani
Westlands
Lavington
Muthangari
Kileleshwa
Kyuna
Loresho
Springvalley
Runda
Muthaiga
Ridgeways
Tatu City
Kahawa Sukari
Parklands
Muthaiga
Langata
Ngara
Karen
South C
South B
Southlands
Woodley
Ngumba
Buru Buru
Nyayo Estate
Greatwall Gardens
Syokimau
Baraka Estate
Nairobi West
Madaraka
Garden Estate
Gigiri
Kitusuru
Nyari
Thome
Thigiri
Amara Ridge
Waterfront Gardens
Mountainview
Evergreen Estate
Greenpark Estate
Royal Gates
Nyayo Estate
Donholm
Riara
Barton Estate
Lower Kabete
New Muthaiga
Groganville

Yani hizo nimezilist tu offhead. Yani nakwambia ikija sehemu zinazovutia kwa ujumla Dar ligi yake ni Mombasa, sio Nairobi.
Jamaa muongo wewe kwahiyo kawe na mbezi ni mtaa mmoja sio .? 😂😂😂 Kwahiyo moroko ipo kandokando ya morogoro road, 😂😂😂.. by the way yapo maneo mengi mno yaliyoendelea hapa DSM na yamechangamka mno .. sina time ya kuyataja hapa Ila ukitaka ntakutajia
 
Ulishindwa kuleta bei ya basic commodities. hadi wa leo bado unatafuta.
Huku kwetu Kenya ni Mavi mzee, kazini huwa nakutana na Wakenya nawahoji kuhusu maisha yao kiujumla wanaongea ukweli kwamba maisha ya Kenya huwezi linganisha na ya Tz, hata infrastructures za Tz zipo classic sn, wanasema huko Kenya ni wizi na njaa, wanaulumu sn serikali yao wanasema huwa wanajengewa low quality infrastructures kwa gharama ya high quality, wanashangaa sn huku Tz wanapoona infrastructures za kiwango na majiji yenye kupendeza hata ndani ndani co tu mjini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio sababu Tanzania ni nchi Bora zaidi kuishi hapa Africa, Tanzania maendeleo na uchumi wake umesambaa nchi nzima tofauti na Kenya kila kitu ni Nairobi.

Nairobi uchumi wake ni zaidi ya 52% wa uchumi wa Kenya yote, Dar es Salaam uchumi wake ni 30% ya uchumi wa Tanzania nzima.

Note: Tanzania inaongoza Afrika katika uchumi shirikishi(Economic inclusivity), Kenya inaongoza katika Economic iequality
$106b- $54b -$8b = $44b
$65b - $25b = $40b

ona mlivyo mafala na hisabati wadanyika bana ,low iq. Kenya bado kuna uchumi mkubwa nje ya Nairobi na Mombasa.
JamiiForums498260911.jpg
 
Back
Top Bottom