Hii nchi inahitaji mtu mwenye uwezo wa computer kama Magu, Watz wala hawana habari na mtu cz mambo yao yanaenda.
Unajua hii nchi tumshukuru sn Mungu, ina kila kitu, haina njaa ina amani, kuna jua kuna mvua, kuna joto kuna baridi, kuna maji kuna vumbi, yn Mungu wkt anaiumba alikumbuka kuweka kila kitu, hali ya hewa zote zinazo wa favour binadamu mpk wanyama na ndiyo maana unaona Watz hawana habari cz wamepewa kila kitu.
Ss tunapotaka na cc tupate maendeleo ya kweli kwa kutumia rasilimali za upendeleo tulizopewa na Mungu inabidi tuwe na kiongozi imara wa kuwalazimisha Watz kwamba haitoshi na msibweteke, but unfortunately viongozi hao ni wachache sana duniani, kwa miaka takribani 60 tumepata viongozi wa kariba hiyo wawili tu, hawa wengine walipambana kwa uwezo wao lkn walichoka kutokana na Watz kuridhika na mazingira waliyojaliwa na muumba.
Sent using
Jamii Forums mobile app