Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatuonyesha picha ya era ya Celtel na sahii tuko kwa Airtel. Bicycles taxis are also common in Kigali, the planning and orderliness in Kisumu and Kigali is top notch. Stop displaying your ignorance.
Kigali
Bicycle operators look out passengers on street Editorial Stock Photo -  Stock Image | Shutterstock


Quelimane
Mozambique: Photos of Bike-Taxis in Quelimane · Global Voices


NewYork
Tourists getting a ride from a Taxi Bike in Central Park, New York City USA  Stock Photo - Alamy


Malawi
Bicycle Taxis in Malawi – Public Transport Diaries
so kenya ni sawa na malawi 😂😂😂😂😂
 
Kuna video clip nyingi sana za your major towns mnaziita city., Sio drone, street level, za propaganda etc, how do we know Mwanza ain't a city? , Wacha kujitetea., Dar is the only city na it is around 10-20% city look, around CBD., the rest ni sprawling uswazi., with few meaningful standard estates, average living ni ushago type standards.,
hakuna cha kujitetea narudia tena mlichotupita ni mapicha picha tu in reality hamns kitu hapo labda na k8ngine mlichotuzidi ni kwa ufande wa mfumo wa ujenzi wa kujenga estate kwa wingi (hostel camp houses) ni hayo tu vinginevyo hamna kitu hapo
tembea mzee ojwani
 
kuna mjinga mmoja anapost maeneo ya chuda tu sioni akileta ushuzi huu kamili hio ndio CBD ya mombasa ikionekana hapo katikati ya mavi ya kuku 😂😂😂😂😂
E5250D8A-C7C0-4522-81ED-92DAC3AE50F2.jpeg
7E6683A8-2192-4398-9BEA-0912B9D3FF7F.jpeg
51D0768F-6B92-4F89-9331-F94AF2EBC842.jpeg
 
Asante kwa kukubali Nairobi ina apartments nyingi kushinda Dar. Halafu sio ukweli kusema Mwanza inawaka usiku kushinda Dar. Katika hizi nchi zetu za Kiafrika ambazo hazijaendelea, kwa kawaida mji mkuu huwa ni kubwa sana kushinda miji zote zingine kwa jumla. Nadhani nusu ya umeme unaotumika Tanzania unatumika Dar pekee halafu hio nusu nyingine ndio inayotumika mikoani. Vile vile huku Kenya nusu ya umeme unatumika Nairobi pekee kisha hio nusu nyingine inatumika mikoani. Hio ni kweli pia ukilinganisha Lagos na mikoa ya Nigeria. Pia SA unakuta Joburg inatumia umeme mwingi ajabu ukilinganisha na mikoa mingine. Africa imeendelea kwenye miji mikuu pekee, huko kwingine ni bure kabisa.
huo ndiyo ukweli ila kwa kupiga good photo kwa kutumia angle nzuri kwenye miji yenu mpo vizuri mmetisha,
Tz tupo na few picha tofauti na nyie
 
hii nchi bwana.. full vituko

sio vituko tu bro wanamaisha magumu kuliko zimbabawe na sio mm nasema ni world bank😂😂😂😂


 
Back
Top Bottom