The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Hehehehee mashamba wayatoe wapi, unadhani kumiliki shamba mchezo nn, wakunya weusi wengi over 99% hawana guarantee yyte ya kumiliki ardhi ndani ya Kenya, wakunya wachache wenye ardhi ni politicians na wakulima wa vijijini ambao wanamiliki ardhi mfu Mana arable land yote wamechukua foreigners na politicians wachache.Wakenya weusi wote mali zao ni mashamba na makadirio ya ufisadi waliofanya wakiwa viongozi lakini kwa ground they own nothing tangible![]()
Sent using Jamii Forums mobile app


