Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe!! Hukumbuki Magufuli alivyokua anawakandia wanawake weusi na kusifia weupe mbele ya mkewe ambaye yeye mwenyewe ni mweusi, dah yule mama alivumilia kwa kweli.

Magufuli mwenyewe pia mweusi tititi.🤣🤣
Yani huko Bongo mwanaume akishika pesa ni mademu weupe tu atakimbilia. Ndio maana unapata lijitu lieusi kama Harmonize kwa video limezungukwa na mademu weupe na wazungu tu. Yani mijamaa inaabudu weupe balaa. Utumwa tu.
 
Sijui mnakwama wapi kutoka hapo, tatizo uzembe.
Naona swali limekushinda. Ngoja tubadili mada
Hebu nieleze hapa kunya hadharani huko Kenya ni issue ya kawaida!? Je maji wanatumia au la!?

1635920906219.png
 
Magufuli mwenyewe pia mweusi tititi.🤣🤣
Yani huko Bongo mwanaume akishika pesa ni mademu weupe tu atakimbilia. Ndio maana unapata lijitu lieusi kama Harmonize kwa video limezungukwa na mademu weupe na wazungu tu. Yani mijamaa inaabudu weupe balaa. Utumwa tu.
Vitu kama hivi vinanifanya nilie kwa machozi. Kumbe kuna watu bado wanaishi maisha haya!!!
1635921226366.png
 
Wakenya wenyewe walisukuma serikali yetu iingilie kati. Pia kuna story ya Wakenya watatu au wanne waliokwenda kufanya kazi huko Ethiopia kisha wakakamatwa na kufungwa gerezani. Familia ya Wakenya hawa ilileta pressure kwa serikali kwamba iwaokoe. Mwishowe serikali iliongea na serikali ya Ethiopia na wakarudi nyumbani.
Tazama hapa watatu waliwachiliwa baada ya serikali yetu kuingilia kati


Hawa nao ni Wakenya wanne waliokuwa wamefungwa jela South Sudan na serikali yetu iliingilia kati na kuwanusuru



Serikali ya Kenya kwenye diplomasia huwa iko vizuri sana. Najua wengine wenu mtapinga lakini huo ndio ukweli wa Mungu.
Yeah uko Sawa. Hakuna hoja Kwamba mko vibaya kwenye diplomasia.

Mnachangamkia fursa na kuside any part as you will have assurance of piece of cake. But Kwa issue hizo ndogo hadi serikali yenu kuingilia kati ni zaidi ya matumizi ya diplomasia.. Maana hao wahabeshi waliwarushia tuhuma kadhaa hao wakennya ndio ikawakamata..

How your govnt intervene and manage to extract them ni vitu hatuwezi kujua. What they talk and offer each other.
 
Back
Top Bottom