dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,847
- 3,151
Kukunya hadharaniNaona swali limekushinda. Ngoja tubadili mada
Hebu nieleze hapa kunya hadharani huko Kenya ni issue ya kawaida!? Je maji wanatumia au la!?
View attachment 1996625
Kukunya hadharaniNaona swali limekushinda. Ngoja tubadili mada
Hebu nieleze hapa kunya hadharani huko Kenya ni issue ya kawaida!? Je maji wanatumia au la!?
View attachment 1996625
Nchi yenye njaa kama Kenya ndio wanawake wanakua masculine baada ya wanaume kushindwa kuprovideWhere did I mention retaining high level of femininity? Read to understand bro. Usianze kureason kama ichoboy01 na Venus Star hapa hivi.
Halafu mimi hufurahia jinsi some Africans hushinda wakisema Western societies are messed up yet kila siku wanakimbilia huko.
Anyway, all societies are headed that way and soon marriage will be obsolete. Hapo Tanzania kila siku munang'ang'ana Uchumi wenu ukue. Munang'ang'ana mshinde Kenya. You think things will remain the same? There's a level of development kabla mfike you'll need to let go of some archaic gender roles and as a result your women will become exactly as those Western women you're talking about. Otherwise mkitaka kuretain hizo gender roles mtabaki hapo na umaskini wenu.
Naona swali limekushinda. Ngoja tubadili mada
Hebu nieleze hapa kunya hadharani huko Kenya ni issue ya kawaida!? Je maji wanatumia au la!?
View attachment 1996625
Kwanza hakukuwa na haki hapo maana hata mahakama inaendeshwa na lugha ambayo Wakenya hawaelewi. Mahakama wanazungumza lugha ya Amharic na hawatafuti interpreters wa kizungu. Wakenya hao walisema kwamba hawakuelewa mashtaka waliosomewa na wala hawakuelewa kifungo walichopata na wala hawakuelewa chochote kilichoendelea kortini maana korti ilikataa kuwatafutia wakalimani. Vilevile South Sudan wanatumia lugha yao ya asili na wala hawatumii kiingereza lugha ya kimataifa. Hapo kuna haki gani ikiwa washtakiwa hawaelewi lugha inayotumika kortini? Serikali ya Kenya ilifanya vizuri kuwaokoa. Nchi zingine bado ni shit-hole tu hata hakuna haja ya Wakenya kuenda huko.Yeah uko Sawa. Hakuna hoja Kwamba mko vibaya kwenye diplomasia.
Mnachangamkia fursa na kuside any part as you will have assurance of piece of cake. But Kwa issue hizo ndogo hadi serikali yenu kuingilia kati ni zaidi ya matumizi ya diplomasia.. Maana hao wahabeshi waliwarushia tuhuma kadhaa hao wakennya ndio ikawakamata..
How your govnt intervene and manage to extract them ni vitu hatuwezi kujua. What they talk and offer each other.
Wakunya vipi. Lini mtaacha hiiNilishangaa mpaka leo omba omba wenu bado wamejaa Kenya, nyie mna gubu yaani.
TDF jeshi la rebels linakaribia Addis Ababa. Wanataka kupindua serikali.Vyema ungetoa tarifa kamili
Sometimes media hufanya bias reporting kwasababu, habari zisizo kua na maana huwatengenezea pesa kuliko habari za maana. Devolution has really improved government service delivery in Kenya. Kuna a lot of positive development lakini ni nadra sana uone media wameipa kipaumbele. Anyway here is a photo of Mandera County Referral Hospital, which is a product of devolution.Mandera governer's Mansion,natamani kuona Kama jengo la hospitali au shule zinafanana na hili 'hekalu huko Mandera.View attachment 1996619
Kutokujua lugha siyo kosa la mahakama.Kwanza hakukuwa na haki hapo maana hata mahakama inaendeshwa na lugha ambayo Wakenya hawaelewi. Mahakama wanazungumza lugha ya Amharic na hawatafuti interpreters wa kizungu. Wakenya hao walisema kwamba hawakuelewa mashtaka waliosomewa na wala hawakuelewa kifungo walichopata na wala hawakuelewa chochote kilichoendelea kortini maana korti ilikataa kuwatafutia wakalimani. Vilevile South Sudan wanatumia lugha yao ya asili na wala hawatumii kiingereza lugha ya kimataifa. Hapo kuna haki gani ikiwa washtakiwa hawaelewi lugha inayotumika kortini? Serikali ya Kenya ilifanya vizuri kuwaokoa. Nchi zingine bado ni shit-hole tu hata hakuna haja ya Wakenya kuenda huko.
Mnatuchafulia sana mji, ona mlivyo
Hapo panaweza pakafanana na hospital za wilaya Tanzania. It will not be at the level of referral in Tanzania.Sometimes media hufanya bias reporting kwasababu, habari zisizo kua na maana huwatengenezea pesa kuliko habari za maana. Devolution has really improved government service delivery in Kenya. Kuna a lot of positive development lakini ni nadra sana uone media wameipa kipaumbele. Anyway here is a photo of Mandera County Referral Hospital, which is a product of devolution.
View attachment 1996682
View attachment 1996683
Yeah lugha changamoto.Kwanza hakukuwa na haki hapo maana hata mahakama inaendeshwa na lugha ambayo Wakenya hawaelewi. Mahakama wanazungumza lugha ya Amharic na hawatafuti interpreters wa kizungu. Wakenya hao walisema kwamba hawakuelewa mashtaka waliosomewa na wala hawakuelewa kifungo walichopata na wala hawakuelewa chochote kilichoendelea kortini maana korti ilikataa kuwatafutia wakalimani. Vilevile South Sudan wanatumia lugha yao ya asili na wala hawatumii kiingereza lugha ya kimataifa. Hapo kuna haki gani ikiwa washtakiwa hawaelewi lugha inayotumika kortini? Serikali ya Kenya ilifanya vizuri kuwaokoa. Nchi zingine bado ni shit-hole tu hata hakuna haja ya Wakenya kuenda huko.
TANZANITE park, Njoo hapa siku yoyote kuanzia saa tisa hasa weekend , panda roofrop kuna swimming pool inaitwa CLOUD 9, ukashuhudie vile Mungu kaumba😎. (hata kama hutaogelea, we nunua kinywaji chako na Swimming pool na vyote vilivyomo kwenye maji vitakua kama screen ya TV,.






Nimekusamehe bure. Huenda huelewi maana ya neno "rules of natural justice."Kutokujua lugha siyo kosa la mahakama.
Serikali ya Kenya na Serikali ya Ethiopia zina uhusiano wa karibu sana usishangae Wakenya hao kuwachiliwa huru baada ya serikali ya Kenya kuingilia kati. Uhusiano wa karibu kama huo huwezi kujua walizungumza nini faraghani.Yeah lugha changamoto.
Hivyo gavoo ikawapigia kifua wakaachiliwa ikawasema hao sio spy na hawafanyii kazi any intelligence agency ya nje ama ndani ya kenya.
Kwa Sudan may be Sawa.. But Kwa Ethiopia nadhani you two have issues. Huyo reporter alidakwa mazingira tatanishi.
Siku hizi umeacha accounts umeanza kujifunza terminologies za kisheria!?Nimekusamehe bure. Huenda huelewi maana ya neno "rules of natural justice."
Hahaha. Haya nimewacha. Wacha niendelee na shughuli zangu hapa. Siku njema.Siku hizi umeacha accounts umeanza kujifunza terminologies za kisheria!?
Vitu kama hivi vinanifanya nilie kwa machozi. Kumbe kuna watu bado wanaishi maisha haya!!!
View attachment 1996630






vichaa ni wengi apo kunya land