Unawakilisha wakenya wengi ambao ni "Ignorant" katika Mambo mengi, pole sanaHeehee, ati Tanzania ishinde Kenya kwa idadi ya ng'ombe? Lawd have mercy. Halafu put in mind pia inategemea ng'ombe gani. Wewe na Ng'ombe yako inayotoa maziwa lita moja kwa siku ujilinganishe na Mkulima wa pale Githunguri au Eldoret mwenye ng'ombe moja inatoa lita 40 kwa siku? Yani ng'ombe moja huku inatoshana na ng'ombe 40 hapo kwenu.
Anyway, hamna haja ya maneno tupu maanake hapo munakuwanga number 1. Twende kwa facts...........
game over NDINDA Chamoto The best 007 kumbukeni only Kenya and Ethiopia consistently produce more milk than they need in Africa and only Kenya, Ethiopia and Uganda export milk.
Dairy Around the World | Animal & Food Sciences
afs.ca.uky.edu
View attachment 1995450
Yo Kenyans hivi ndivyo BRT roads venye zinafaa kuwa .. chukueni notes
View attachment 1996065View attachment 1996068View attachment 1996076View attachment 1996078View attachment 1996082View attachment 1996084![]()
View attachment 1996086
Siumeona Samia anaogopa kugusa ngozi ya huyo jamaa, itamchafua, huu ni ubaguzi wallahiRais wa danganyika met with greatness in Europe View attachment 1996057








Wewe ni racist kwa mwafrika mwenzako unastahili maombiSiumeona Samia anaogopa kugusa ngozi ya huyo jamaa, itamchafua, huu ni ubaguzi wallahi![]()
Hapo Malawi hawaijui Kenya kabisa, ili wajue Kenya iko wapi inabidi uwaambie ipo karibu na Tanzania…..
Remember JPM, the G.O.A.T

Huyu jamma upeo wake ni mdogo sana aisee, ni zao halisi la mitaala mibovu ya elimu yao.Unawakilisha wakenya wengi ambao ni "Ignorant" katika Mambo mengi, pole sana
UbaguziRais wa danganyika aliguza Kipchoge, the greatest marathoner of all time. View attachment 1996109







Wind power pwahahahaha!? Is not reliable energy source mwanangu.
Mawasiliano, ni nouma sn hapo.Yo Kenyans hivi ndivyo BRT roads venye zinafaa kuwa .. chukueni notes
View attachment 1996065View attachment 1996068View attachment 1996076View attachment 1996078View attachment 1996082View attachment 1996084![]()
View attachment 1996086
Ubungo inakwenda kuwa Guanzhou of EA soon.Mmeona Kulia kule ile Fence , ni mradi ule tunaousubiria kwa hamu. East Africa Logistic Center .
View attachment 1996137