Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,711
Kwa hivyo sasa huamini ukweli wowote kuhusu habari inayopatikana ndani ya website unayoleta to prove your points?! All of a sudden wamekuwa waongo ila hapo mbeleni walikuwa wakweli! Wewe boya tuumelalamika nikaleta source nyingine 😂😂😂😂 bado umepanic tu nimekwambia hata mm naeza join sahivi nikafungua thread nikaandika hata kenya iko mbele kuliko america najua hutashangaa😁😁😁😁

