The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Hakuna wa kushindana na Tz kwa ss kwa hivi vinchi vya East and Central Africa niamini mimi 


























Hakuna kitu umetaja bongolala. Ulichosema ni kwamba mko na recreational parks ila hazina majinarudi nyuma tafuta,haupo makini
Chuki yako peleka Tandale kijana. That building is 19 floors and you won't change that fact even you walk from Tandale to TimbuktuThe Address halijafika hata 15 floors!
Watz tuna kila sababu ya kulinga, angalia mazingira ya hii hospitali, inaitwa Muhimbili, the home of Africa.View attachment 1989965View attachment 1989966View attachment 1989967
Mkuumim kwa muhimbili, kitu wanachofeli nadhan ni parking na mpangilio mzuri kwenye namna ya kutoka na kuingia kwenye parking areas zilizopo.
kwenye parking wako ovyo kweli







Magu hakuna alichoacha, yule mzee wanamchukia bure tu ila amepambana sn.mim kwa muhimbili, kitu wanachofeli nadhan ni parking na mpangilio mzuri kwenye namna ya kutoka na kuingia kwenye parking areas zilizopo.
kwenye parking wako ovyo kweli
Yani mm Imani yng ni kwamba Magu amepokelewa, sasa mbwa yeyote anayebisha ndipo anaanza kununua ugomvi na mm.Na ndiyo maana mm huwezi kuniambia chochote kuhusu Magu, namuona kama malaika.

Ndiyo nawaambia waja wajue ukweli kwamba ukimgusa Magu umenigusa mm kwasababu jamaa ameshakufa hawezi kujitetea, ss watetezi wake ni sisi, yn mm nataka cku nikifa na nikakutana na Magu aseme kwamba kijana wangu ulijaribu. Yn mm huwa naumia sana mtu akimponda Magufuli.Duu The best 007, umeongea maneno kwa hisia kali sana kk![]()
Daa mkuu yaani wee acha tuu asee, mimi Magu nilianza kumuita "my president" tangu yupo waziri enzi hizo 2011 nikaweka picha lake facebook asee, yaani huyu mzee alijitoa kweli kweli jamani. Kumtusi ambae kishalala haipendezi kabisa kwa desturi zetuNdiyo nawaambia waja wajue ukweli kwamba ukimgusa Magu umenigusa mm kwasababu jamaa ameshakufa hawezi kujitetea, ss watetezi wake ni sisi, yn mm nataka cku nikifa na nikakutana na Magu aseme kwamba kijana wangu ulijaribu. Yn mm huwa naumia sana mtu akimponda Magufuli.
kabisa![]()
Government eyes Sh17.2 trillion as nickel project gets the nod
The government expects to collect an estimated $7.5 billion (Sh17.2 trillion) through various fees and taxes over the next 33 years from the Kabanga nickel mining project.www.thecitizen.co.tz
Isomeni hyo
Katika kitu Magu alichofanya vizuri sana kwa nchi yetu na tutamshukuru sana ni kubadilisha Sheria ya madini ..hii mpya ya 2018 ina benefit waTanzania ..kama Sheria itafatwa ..View attachment 1989958View attachment 1989959
Ss mbn ulisema ni 20 floors.Chuki yako peleka Tandale kijana. That building is 19 floors and you won't change that fact even you walk from Tandale to Timbuktu
ushapanic 😂😂😂😂😂Who is construction wire, asante sana engineer