Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

acheni ujinga dunia ilipofika leo hakuna kitu mutadanganya mtu hata anegkua mtoto wa miaka miwili 😂😂😂😂😂

hio tabia za kujisifia uongo acheni dunia imebadilika na nyinyi mubadilike
Ni nini nasifia hapa? Kwamba huwezi kuhesabu 31 floors kwenye hilo jumba la kushoto ama?
images (31).jpeg
 
Read
In dar we have those everywhere around the city, I wonder this is a news, serious ?
Read to understand not read to reply. Ebu tuonyeshe which part of Dar city center is popular with outdoor advertising billboards with neon light display kama Times Square NYC, Piccadilly Circus London, Shibuya crossing Tokyo or Dundas square Toronto?
 
Nitaenda tu nawe taratibu unavyotaka hadi utii. Skyscraprcenter nayo ndio hii hapa.
Na wao pia wanasema majumba zote except moja ni above 30 floors. Leta source nyingine nikuumbue bongolala
umelalamika nikaleta source nyingine 😂😂😂😂 bado umepanic tu nimekwambia hata mm naeza join sahivi nikafungua thread nikaandika hata kenya iko mbele kuliko america najua hutashangaa😁😁😁😁
 
Hii ni taarifa ambayo ilitolewa wakati jumba lenyewe hata ujenzi halijaanza. It was still a proposal.

This is what they've said mahali umetoa hiyo screenshot. Juu kidogo tu ya hiyo screenshot yako:

Note: As this project is proposed, the data is based on the most reliable information currently available. This data is thus subject to change until the building has completed and all information can be confirmed and ratified by the CTBUH.
 
Back
Top Bottom