Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miaka yote tupo stagnant kwenye kujenga majengo na bado hawajatoboa, na misaada yote ya Matowers [emoji1787] kutoka 中央人民政府[emoji1787].
yani mchina waende kumshukuru na kumsalia manake hali ingekua ya kampala sahivi 😂😂

asante mchina abarikiwe
 
mwambie aje hapa 😂😂😂😂😂

Nikienda huko, na wewe pia uje hapa

Zote ni skyscrapercity
 
CBK Pension has two wings bongolala. Kuna ya 27 floors na ya 30 floors. Ni lazima upinge kila kitu wewe bwege?
Jamaa angekuwa na uwezo wa kumpiga life ban ichoboy angefanya hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miaka yote tupo stagnant kwenye kujenga majengo na bado hawajatoboa, na misaada yote ya Matowers [emoji1787] kutoka 中央人民政府[emoji1787].
Yani kukosa Mchina cjui ingekuwaje wallahi, ndio maana huwa nasema Watz tulikuwa tumepoa sn, imagine tuliwapiga gape kitambo sana lkn kwenye mitandao wakawa wanajiweka mbele yetu kisa wanafanya vizuri kwenye mbio, mpk leo ndio dunia imeanza kuujua ukweli ni nani ameendelea zaidi hapa EA.
 
Nikienda huko, na wewe pia uje hapa

Zote ni skyscrapercity
skyscraper city hata mm naeza join nikatengeneza thread ya uongo hapa nikapost 😂😂😂😂😂 niamini mm hata kama unanichukia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikieni mpya ya leo

Wacha tumsaidie ku zoom [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211029-103122.jpg
 
Jamaa angekuwa na uwezo wa kumpiga life ban ichoboy angefanya hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizi wings mbili unaona zikitoshana kwa urefu? Zitakuwaje 27 zote wakati wing moja is clearly taller than the other?
images (51).jpeg
images (50).jpeg
images (49).jpeg
images (45).jpeg
images (48).jpeg
 
Nikienda huko, na wewe pia uje hapa

Zote ni skyscrapercity
skyscrapercity na skycrapercenter😂😂😂
 
Na wewe mbona hutaki hiyo nyingine? Mbona unataka nikubali yako na tangu hutaki kukubali? Si unaona ujinga wako inajidhihirisha yenyewe?
acheni ujinga dunia ilipofika leo hakuna kitu mutadanganya mtu hata anegkua mtoto wa miaka miwili 😂😂😂😂😂

hio tabia za kujisifia uongo acheni dunia imebadilika na nyinyi mubadilike
 
Back
Top Bottom