Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua kiukweli kabisa huwa najiuliza kama kweli nyie wakenya huwa mnapenda nchi yenu ama mnatuzingua tu hapa, yn huwa najiuliza hivi ni kweli mnaona Nairobi ipo juu kuliko Dar au hapa mnatu enjoy tu.
wageni wasio wakenya ama watanzania watakujibu hilo swali sawa sawa, iwe wazungu ama waafrika, they will tell u gani iko juu., yaani it is too obvious, nyie ni inferiority complex mixed with blind patriotism ndio inawasumbua, ukiongezea wivu na chuki whose basis is erroneous propaganda that u have been hoodwinked with against Kenya., nothing else.
 
Natangaza rasmi kupitia mwenyekiti [mention]ichoboy01 [/mention] viongozi wote wa juu na wajumbe wake wote kuanzia leo rasmi kwenye mpambano wa Majengo marefu DAR ES SALAAM MARITME CONTROL TOWER (DMCT) iwe pia jengo mojawapo katika orodha ya majengo marefu Katika battle yoyote.


View attachment 1990519
Hii tower ni 44 floors
Nawasilisha in kenyan voice.
 
Hahahaha acha kutaja huo uchafu wenu kwenye sentensi moja na vitu vikubwa duniani mbuzi wewe,ni dharau, let's tena ile picha nikuonyeshe kitu

Yaani wameweka screen nyingine hivi karibuni na tayari wanafananisha na times square , Mammae pale Times square au Shibuya ni dunia nyingine.

Labda hajui haka kaeneo hapa Jiji Dar es salaam
Hesabu screen ngapi hapo na Billboards , Kama hajui haimaanishi hamna. Jamaa vitu vigeni kwao bongo vipo kitambo na hatushtuki.




IMG_2264.jpg


IMG_2265.jpg



BTW angalieni hiyo screen inavyofaninishwa kuwa inakua kama hapa chini.

IMG_2266.jpg
 
kwa inavofahamika 30 and above nairobi ni sita tu hata ukipanic haidaidii😀😀😀
GTC asante mchina 43
GTC asante mchina 35
prism 34
UAP 33
britam 31

hayo mengine jaribuni tena baadae 😂😂😂
Analazimisha fikra zake potovu 😂 😂 😂 😂 ., punguza ujuaji, nenda tweeter utafute tweets za ku retweet, u can't initiate anything by yourself wewe ni wa kudandia tu 😂 😂 😂
Kwa mfano iko wapi Times tower kwa hiyo list yako? hii ni kiashiria unatamani sana fikra zako zikuwe ni ukweli lakini wapi.., 😂 😂 😂
 
Yaani wameweka screen nyingine hivi karibuni na tayari wanafananisha na times square , Mammae pale Times square au Shibuya ni dunia nyingine.

Labda hajui haka kaeneo hapa Jiji Dar es salaam
Hesabu screen ngapi hapo na Billboards , Kama hajuia haimaanishi hamna. Jamaa vitu vigeni kwao bongo vipi kitambo na hatushtuki.




View attachment 1990675

View attachment 1990680


BTW angalieni hiyo screen inavyofaninishwa kuwa inakua kama hapa chini.

View attachment 1990681

😂😂😂😂😂 woiiiiiiii trying to force issues. Huna hata aibu unatuonyesha billboards kando ya barabara mounted on stands.
 
hesabu hata kwa macho ukipata zaidi ya 30 mm nafunga acc jamii forum😂😂😂😂 mukiambiwa ukweli munakua wakali ww huoni mwenzio mzee wa kuhesabu floors alikimbia kwa aibu
Funga account kama uko na kende 😂 😂 😂 😂 count.., kama express way ulishindwa kufunga ni empty kiswahili umebaki nayo sembuse hili., uta change ID tu., idiot 😂 😂 ..,
2979678_images_31.jpeg
 
Back
Top Bottom