Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,173
- 29,788
Mimi siyo mshamba nikija siendi KICC navaa gam..buti natinga kwa wajanja kibera au gorogocho ,kwa mombasa naenda bangladeshiKICC ni kw washamba km nyie![]()
Mimi siyo mshamba nikija siendi KICC navaa gam..buti natinga kwa wajanja kibera au gorogocho ,kwa mombasa naenda bangladeshiKICC ni kw washamba km nyie![]()
Mama pipusa anaupiga mwingiHaya ma flyover ya Uhasibu na Chang'ombe nahisi ujenzi umesimama, hakuna kinachoendelea, mafundi wapo wachache almost ni kama hamna mafundi, cjui shida iko wapi ujenzi haukamiliki mda mrefu ss.

gestKipusa ni shida yeye kwake kukimbiza miradi ni shida kazi ni matamasha tu na kusherehekea siku za watoto, wanawake, vijana, wazee, un, siku za kisukari ,siku za mimba basiPia na hili daraja la SGR hapa kamata halijawahi kuisha aisee.
Haya ma flyover ya Uhasibu na Chang'ombe nahisi ujenzi umesimama, hakuna kinachoendelea, mafundi wapo wachache almost ni kama hamna mafundi, cjui shida iko wapi ujenzi haukamiliki mda mrefu ss.
Vp kuhusu brt false2 mama kafanya mambo kuwa slow kwa miezi yote aliyokuwa Raisi ayupo bize kusukuma miradi kwa nguvu zote, sasa hivi inatakiwa tuanze kujenga brt false 3 and 4 ,tena ilitakiwa ijenge barabara ya rami kutoka gongoramboto kufuata reli kuelekea mjini ili kufanikisha ujenzi wa barabara ya airport na brt yake vizuri bila ya usumbufu hapa tungekuwa na magufuli huu mpango ungefanyiwa kazi ,tena tulitamani hii barabara ya airport ijengwe kwa ustadi ipendeze kwa kuwa ni mlango wa nchiusihofu, projection ni by the end of December, Dar-Pugu yote ni kuwa imekamilika 100%
Wali beti haoHawa wanafunzi wa huko kunyaland
Hao ndio wakunya wa kesho
Wanaweza choma bweni kwa sababu za kipumbavu
Hii ndio maana halisi ya akili za wakunya
No wonder wanagongwa kila siku kwenye mikataba huko kwao sababu Wana depression since their childhood.
So sad kwa kweli serikali ya kimasikini italazimika kujenga tena hayo mabweniView attachment 1988114



So the truth to you is anything that favor your side right?mbona husemi rais wa kenya kuchair UN meetings??? hiyo hutaki kuskia sababu inakukera
Watanzania wa Gongo la Mboto can afford themWho is to afford those houses,mkunya from 'kwa baba dogo' slums,or who?
Wazee wa vitu cheap...
Apo tumepigwa na kitu kizitoHaya ma flyover ya Uhasibu na Chang'ombe nahisi ujenzi umesimama, hakuna kinachoendelea, mafundi wapo wachache almost ni kama hamna mafundi, cjui shida iko wapi ujenzi haukamiliki mda mrefu ss.




Ila nahisi saiv kuna muelekeo mzrPia na hili daraja la SGR hapa kamata halijawahi kuisha aisee.
liboya linateseka 😂 😂 😂 😂 .,unaongeaga matope mzee ojwani,
matope na ukweli ni vitu viwili tofauti
Tatizo la Tz ...kila tunapo badili kiongozi mkuu huwa na vipaumbele vinabadilika hiyo ndio shida....Haya ma flyover ya Uhasibu na Chang'ombe nahisi ujenzi umesimama, hakuna kinachoendelea, mafundi wapo wachache almost ni kama hamna mafundi, cjui shida iko wapi ujenzi haukamiliki mda mrefu ss.
Uchafu huo...Bongolala kujifanya engineer...hamna interchange kali kama hii east africa nzima