joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahahaha, hahahaha, hizi ndizo zinawafanya wafikiri wamezidi Tanzania katika Electricity connectionKwahiyo Rwanda iko sawa na nyie kwenye railway network![]()





Tony254
Hahahaha, hahahaha, hizi ndizo zinawafanya wafikiri wamezidi Tanzania katika Electricity connectionKwahiyo Rwanda iko sawa na nyie kwenye railway network![]()





@Tony254 njoo huku muone jinsi mnavyopika taarifa, hii ndio sababu mnajilinganisha na Tanzania, kamwe Kenya haifikii Tanzania katika barabara, umeme, na rail network, ninyi ni watu wa kudanganya siku zoteRwanda hawana hata km 0 ya reli.. hii taarifa ni ya uwongo sana





Sasa hiyo si ni "rotational" na Sasa hivi ni zamu ya Kenya, tatizo uelewa wenu wa Mambo ni mdogo na hamtaki kujifunza.mbona husemi rais wa kenya kuchair UN meetings??? hiyo hutaki kuskia sababu inakukera
That is "tribalism" go and check the definition of "tribalism". Kenya is one among countries affected heavily by tribalism, I expect almost all Kenya know what tribalism is, what are the key indicators of tribalism and it's characteristics.dem
ocracy allows you to choose who ever you want no matter your reason so if people choose to choose based on tribes due to democracy you cant defy their will..... so there is pure democracy althor my personal opinion is voting because of tribe is not a good thing but they say democracy is like a double edged sword it cuts both sides meaning it has its advantages and disadvantages one disadvantage being the tribal vote thing but being a democracy you just have to abid by it
We bwana Simba una mpaka channel yako YouTube ya kuandika uongo kuhusu tz 😂😂😂 mbona nyie jamaa ni waongo waongo.?nawahurumia kazi kukataa tu ukweli you have a long way to go denial stage will soon end
Hahahaha, Kuna nchi yenye ujinga Kama Kenya katika ukanda huu?, Ninyi mnagombana na majirani wenu wote, taja ni nchi gani ambayo hamkorofishani nayo Kati ya majirani wenu.na maanisha raia.. ile beef mliomo nayo dhidi ya wakenya is beyond measure. mkenya wowote kuonekana ndani ya tz itakua ni show, ata kama ako na stakabadhi zote kumruhusu akue pale. aafu wabongo wote waliomo huku ata bila documentation, sisi hatuna issue. nenda gikombaa utaelewa
we hujatembea,na maanisha raia.. ile beef mliomo nayo dhidi ya wakenya is beyond measure. mkenya wowote kuonekana ndani ya tz itakua ni show, ata kama ako na stakabadhi zote kumruhusu akue pale. aafu wabongo wote waliomo huku ata bila documentation, sisi hatuna issue. nenda gikombaa utaelewa
Kenya's rail network hafikii hata 25% ya Tanzania.actually Tanzania's railway network is double that of Kenya + Ethiopia + Uganda all combined together, unabisha tukuwekee ushahidi?but human is to error!.. hii kidogo nadhani ni mpiga chapa kakosea, kurudia data zakikenya mle rwanda. ila ingine yote ni accurate. that, am rest assured! tunaweza bet. nipe mmda kiasi nifanye upekuzi zaidi google
Kenya's rail network hafikii hata 25% ya Tanzania.actually Tanzania's railway network is double that of Kenya + Ethiopia + Uganda all combined together, unabisha tukuwekee ushahidi?
i know kenya there is tribalism and i havent refused thats why i said personaly i dont support it its bad but the main topic here was democracy not tribalism we have tribalism yes but also we have a very elaborate democracyThat is "tribalism" go and check the definition of "tribalism". Kenya is one among countries affected heavily by tribalism, I expect almost all Kenya know what tribalism is, what are the key indicators of tribalism and it's characteristics.
Na hilo unataka kubisha mzee, tz Ina rail network kubwa kuliko nchi zote za EA ukiziunganisha pamojaweka
hawezi lazima atapotea,Kenya's rail network hafikii hata 25% ya Tanzania.actually Tanzania's railway network is double that of Kenya + Ethiopia + Uganda all combined together, unabisha tukuwekee ushahidi?
he dint say the best he said one of the bestHii haiwez kuwa one of the best projects in EA .labda in Kenya
mtajenga vitu hivyo hivyo tu miaka nenda rudi,huwa hamna new modern designer mnazotengeneza
kenya on the ground is very far away from tanzania wacha maneno ya online where you shout the loudest wins but in reality we all know the truth and am sure deep down in your heart unajua ukweli kenya iko mbele its jut that you have to supoort your countryhawezi lazima atapotea,
wakenya siku zote ni watu wenye mihemko kazi yao ni kugoogle na kuutouch data pasipo kuangalia reality ya maisha yao,
na hapo ndipo wanapojidanganya
kabisaaa,kama kawaida wamechimba chiniHii haiwez kuwa one of the best projects in EA .labda in Kenya



kwani njia itakataa kupitika au?mtajenga vitu hivyo hivyo tu miaka nenda rudi,huwa hamna new modern designer mnazotengeneza
labda far ya makaratasi vinginevyo hakuna kitu special hapo ,kenya hakuna kitu chaajabu cha kushtusha Tzkenya on the ground is very far away from tanzania wacha maneno ya online where you shout the loudest wins but in reality we all know the truth and am sure deep down in your heart unajua ukweli kenya iko mbele its jut that you have to supoort your country