Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hakuna mzee masakuu,,
narudia tena hakuna kitu soecial kwa hapo nairobi ,
haturopoki tumeishi na tunaijua nairobi,watanzania tulio humu hatuiongelei nairobi ya picha tunaielezea nairobi in reality life kwa ground na siyo kuleta pang'ang'a

soon naweza kupata fursa ya kuja tena huko,muoneni mkenya mwenzenu huyo wakulia jinsi alivyovaa bwangaView attachment 1987845
Naona umepiga picha KICC ndio ukawaringishie wenzio km kweli ulikua nai na uwhahidi unao
 
hakuna mzee masakuu,,
narudia tena hakuna kitu soecial kwa hapo nairobi ,
haturopoki tumeishi na tunaijua nairobi,watanzania tulio humu hatuiongelei nairobi ya picha tunaielezea nairobi in reality life kwa ground na siyo kuleta pang'ang'a

soon naweza kupata fursa ya kuja tena huko,muoneni mkenya mwenzenu huyo wakulia jinsi alivyovaa bwangaView attachment 1987845
kicc si ndo nairobi kuja utembezwe the real nairobi wacha SEHEMU ZA MAFALA
 
Hahahaha, hahahaha, hizi ndizo zinawafanya wafikiri wamezidi Tanzania katika Electricity connection
Tony254
World Bank imedhibitisha kwamba Kenya imeishinda TZ kwenye electricity connection. Na nimepost hio report hapa mara nyingi. Hata kuna uzi niliufungua na kupost report hio humo ili kila mtu aujadili.
 
Si ndiyo hii hapa, Kenya mnachekesha sana
Screenshot_20211017-160801.jpg
 
i know kenya there is tribalism and i havent refused thats why i said personaly i dont support it its bad but the main topic here was democracy not tribalism we have tribalism yes but also we have a very elaborate democracy
Tribalism in Kenya was caused by the lack of democracy in the country.
 
i know kenya there is tribalism and i havent refused thats why i said personaly i dont support it its bad but the main topic here was democracy not tribalism we have tribalism yes but also we have a very elaborate democracy
Main subject ni "Kitendo" cha kila kabila kuchagua mtu wa kabila lake tu, huo ni ukabila sio Demokrasia.
 
Main subject ni "Kitendo" cha kila kabila kuchagua mtu wa kabila lake tu, huo ni ukabila sio Demokrasia.
Demokrasia ni bora wananchi wamechagua sio wananchi wamechagua kiongozi bora. Tukija kwa mambo ya ubaguzi basi karibu kila nchi ina ubaguzi. Hata Tanzania haijawahi kumchagua rais wa kike katika historia yake. Huyu mama kachaguliwa kama naibu wa Magu. Kwa hivyo hata nyinyi mna taasubi za kiume sio demokrasia. Ubaguzi wa aina fulani ipo katika kila nchi.
 
Kenya bila makabila makabila 42 sio kenya mzee, bila mikoa minane vile vile haitakua kenya, bila ya counties 47 sio kenya mzee bila constituencies mia mbili na usheee bado sio kenya..
Kwhyo politics zisikufanye uone kenya kuna ukabila bali ni strategy za kushinda...

If you can't beat them.......?
Hahahaha, wewe chupi kweli
 
Back
Top Bottom