Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Watoe wapi Kabul ya EAC.., pengine beach ambazo tunazo pia., inferiority complex na wivu ndio inasumbuaga wa Tz..,Tuonyeshe zenu ambazo watalii na watu wanaofanya outing huenda. Mbona kelele?
Watoe wapi Kabul ya EAC.., pengine beach ambazo tunazo pia., inferiority complex na wivu ndio inasumbuaga wa Tz..,Tuonyeshe zenu ambazo watalii na watu wanaofanya outing huenda. Mbona kelele?
Huwezi kuelewa kwasababu wewe umekariri neno democracy, baadhi ya makabila hapo Kenya mfano jaluo wanalalamika kukosa kutoa president mpk leo na kwamba rais anatoka makabila mawili tu, sitaki nikueleze zaidi ila kama hujaelewa kunya boga.i sometimes pity you when you speak..... first of all define the two words.....after defining them then askk yourself this question..... how can you have the freedom and free will to vote according to your tribe if there is no democracy? bro seems common sense is not that common to everyone
i realy dont like hot🔥 (high temperature, like Dar) cities, me i prefer cool and temperate climate citiesCentral Park, Nairobi
View attachment 1988186View attachment 1988187View attachment 1988188View attachment 1988189View attachment 1988190View attachment 1988191View attachment 1988192View attachment 1988193View attachment 1988194View attachment 1988195View attachment 1988196
Watanzania nyinyi hurelax wapi hapo Dar is slum jiji la joto?
Wakunya wa kesho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa wanafunzi wa huko kunyaland
Hao ndio wakunya wa kesho
Wanaweza choma bweni kwa sababu za kipumbavu
Hii ndio maana halisi ya akili za wakunya
No wonder wanagongwa kila siku kwenye mikataba huko kwao sababu Wana depression since their childhood.
So sad kwa kweli serikali ya kimasikini italazimika kujenga tena hayo mabweni[emoji1787]View attachment 1988114
Sasa hapo hizo picha ulizoweka zina tofauti gani na zile za mwezi uliopita? Unabisha kwamba hamna mafundi mbn hujaweka picha wakiwepo, hao mafundi wawili ndio wajenge daraja, alafu be care mm co mpumbavu kama wengi wenu mlivyo, huwa sisifii kizembe na sipondi kizembe so be careful wkt unataka kunipinga.Sio kweli, napita hapa Uhasibu kila siku pako busy, mafundi wako juu wanamalizia kusuka nondo daraja la kwanza wamwage zege, daraja la pili wameanza kusuka pillars na leo nimekuta gari linamwaga zege, huyu Mkandarasi longolongo toka anaanza na mpaka sasa yuko nje ya muda wala sio issue za legacy kama mnavyotaka kutupeleka…..mnadandiadandia tu visegment ili mchomeke vijineno, tuwe objective. View attachment 1988115
View attachment 1988116
View attachment 1988117
View attachment 1988118
Hizo ni picha za leo asubuhi.
Tuwaelewe tu. Uliona yule jamaa mwingine alileta picha za hotel compounds to console himself with! Hawapendi kushindwa hawa midanganyikaWatoe wapi Kabul ya EAC.., pengine beach ambazo tunazo pia., inferiority complex na wivu ndio inasumbuaga wa Tz..,
Uko kama mimi. That's why mimi na Mombasa or even Kisumu is a no noi realy dont like Hot🔥 (high temperature) cities, me i prefer cool and temperate climate cities
Tz mambo ni motoCity Park. Where else can you find this in a city in his region?
View attachment 1988262View attachment 1988263View attachment 1988264View attachment 1988265View attachment 1988266View attachment 1988271View attachment 1988272View attachment 1988274View attachment 1988275View attachment 1988276View attachment 1988277View attachment 1988279
Hili jiji lenu ndiyo huwa halina majengo kabisa, kwamba mnatunza green spaces [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watanzania kujeni mkenue meno huku mkifurahia mandhari tulivu ya Nairobi ya kibaridi
Uhuru ParkView attachment 1988198View attachment 1988199View attachment 1988200View attachment 1988202View attachment 1988203View attachment 1988204View attachment 1988205View attachment 1988206View attachment 1988207View attachment 1988208View attachment 1988209
Tz mambo ni moto
Dar and tz is slum wazungu wanafurahia tu wakati kibera wapo lockdown kwa maviiThe whole of Dar is slum has no recreational park. Not even a single one. Hiyo ndio kitu kinauma huyo bongolala. Hata golf course wako na moja tu
Haya mafala aisee mpk yanatia kinyaa, yn majengo yao yote yameiga ya US na bado kitu hakijatoka kama cha US [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu hulala kizembe hata New York, the capital of the world. Ukistaajabu ya Nairobi, ona ya New York below. This is Central Park in NY
View attachment 1988301View attachment 1988302View attachment 1988303View attachment 1988304
Stop looking for flimsy excuses na vijisababu just because Dar is slum lacks such facilities. You can't have it all in this life
Haya ni mafala mnooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]There is a time in Nairobi watu walisema hii pyramid iliyozinduliwa na Pope John Paul II wakati ali zuru Kenya eti ni wa kishetani.., conspiracy theorists! Mungiki almost removed it and some religious fanatics from some extreme cults.., eti ya freemason sijui illuminati, yada yada lol!., [emoji23] [emoji23] ., won't forget., they said if u remove the plates on the small triangles on the sides kuna label ya jicho kama dollar ya marekani.,
![]()
View attachment 1988333
![]()
Waulize wazungu hawaWatoe wapi Kabul ya EAC.., pengine beach ambazo tunazo pia., inferiority complex na wivu ndio inasumbuaga wa Tz..,
Utajua mwenyewe kwanini hao wazungu wapo hapo na siyo kwenye Park zenu na hapo ni njeSasa nightlife inahusikanaje na recreational parks? Mbona hampendi kushindwa?
90% ya miji ya Tanzania ni cold cities.Uko kama mimi. That's why mimi na Mombasa or even Kisumu is a no no
Mbaazi ikikosa matunda husingizia jua. Mtakuja na kila aina ya kisingizio. Eti jiji letu halina majengo? 😂 😂.Hili jiji lenu ndiyo huwa halina majengo kabisa, kwamba mnatunza green spaces [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So mzungu kuingia nightclub Dar ni big deal sana kwako ana point yako ni nini haswa? Hii inferiority complex itawaisha lini?Utajua mwenyewe kwanini hao wazungu wapo hapo na siyo kwenye Park zenu na hapo ni nje