Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani kakwambia kuchimba ni low quality
Haya twambie injinia
hapo mnajenga vitu kilocal,mnaogopa kusimamisha nguzo mwanzo mwisho..

kuchimba chimba mashimo ya panya sehemu ambazo hata hakuna haja ya kuchimbachimba hiyo tunaiita local contruction in poor quality
 
kicc si ndo nairobi kuja utembezwe the real nairobi wacha SEHEMU ZA MAFALA
sasa unadhani safari iliishia haapo,namlivyo machokoraa wenye ukora mlinipora simu yangu ila kilichowatokea wale wakora walijuta niliwapa kichapo cha kalate wakaiangusha simu nakusababisha iharibike na kupasuka
 
Na vile wanajichocha eti wanajua kupiga luku, luku yake bado sana, hzo ni viatu za ma odi mazee yeye eti anadunga kwenda nazo kupiga picha pale KICC
hilo ndula la mizunguko mzee am sure humu 100% hakuna mkenya anayeweza kunipita kwa kutupia
,niko vizuri
 
Who is to afford those houses,mkunya from 'kwa baba dogo' slums,or who?
Amazing Nairobi... Pangani affordable housing project,

dev%2B3.jpg


dev%2Baaa.jpg
 
sasa unadhani safari iliishia haapo,namlivyo machokoraa wenye ukora mlinipora simu yangu ila kilichowatokea wale wakora walijuta niliwapa kichapo cha kalate wakaiangusha simu nakusababisha iharibike na kupasuka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
go read a book i think kidogo una upungufu kimasomo hehe cant you even here from even your statement kila mtu kumchagua mtu wa kabila lake inaoshesha wana uhuru wa kuchagua kabila lao radha than kuchagukiwa wasiye taka...... sijaematribalism is good but also you should know tribalism isnt the opposite of democracy ..... you can be ribalistic but still be democratic
Ndio sababu ukabila hauwezi kupungua Kenya, vipi unakataa kwamba" tribal block voting" sio ukabila ni demokrasia?, Wewe kweli ni mkenya, kujifanya unajua kila kitu wakati kichwani ni zero kabisa.

Tribalism and democracy are two difference ideologies and can't co-exist together
 
Na vile wanajichocha eti wanajua kupiga luku, luku yake bado sana, hzo ni viatu za ma odi mazee yeye eti anadunga kwenda nazo kupiga picha pale KICC
luku ndiyo ile kitu bei kali ??? Sasa kama ni hivyo ujue mtz awezagi kukwepa vinyesi vya kenya FLYTOILETS hiyo luku si itaharibika kwa kukanyaga kinyesi mimi nashauri angevaa buti za mvua tu
 
Back
Top Bottom