Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

JNIA terminal two kufanyiwa ukarabati soon na wafaransa ... . Yo wajuzi wa mambo hii imekaaje kitaalamu The best 007 Geza Ulole Simon

Wafaransa walishaonyesha interest ya kulikarabati jengo la TB2 toka 2014 kama sio 2015 inasemekana Hayati aliwaeleza pesa hiyo ya kukarabati ni bora watusaidie nguvu kule Dodoma!!!Wakapiga kimya!!!
 
Ujinga wa mwendazake wa kukata miti kuchonga vinyago bado unaendelea mbona wasitumie gunia la katani kuchora picha safii na kumkabidhi huyo Waziri?



We jamaa bwana
IMG_4857.jpg
 
Na hii ndio English tunanangwa kila siku watu wanajua kuongea vizuri ?
sawa mwl wa Kiingereza ungekuwa wa maana unge-correct! Though not a linguistic expert, I have not seen error as far as semantics are concerned with what i have written! I stand to be corrected though!
 
Wafaransa walishaonyesha interest ya kulikarabati jengo la TB2 toka 2014 kama sio 2015 inasemekana Hayati aliwaeleza pesa hiyo ya kukarabati ni bora watusaidie nguvu kule Dodoma!!!Wakapiga kimya!!!
Naomba wasiishie kulikarabati tu walipanue pia!!piga chini baadhi ya kuta tandika vioo, structure ya ndani iwe planned upya kabisa iendane na ulimwengu wa leo!!!ATCL wapewe kipande baada ya upanuzi!!!!.
 
Kuikataa chanjo iliyokibalika duniani kote ni kujidhalilisha na kujiaibisha mbele za watu wenye akili. Kwa unavyofikiria wewe ni kwamba hii dunia yote watu ni wajinga isipokua hapa Tanzania tu, tena watu wenye kupinga ni wale ambao hawana mamlaka ya kisheria na kitaalamu katika eneo la tiba?
Hiajakubalika na wote bana, kuna maandamano na lawsuits kila sehemu. Huku waliko zitengeneza hizo mNRA , sasa wanashurutisha watu wachanje, la sivyo inabidi uache kazi. Wengi wameshaacha na tunatarajia mamilioni kuacha kazi siku zijazo.
 
Mkuu mimi naongelea English accent ya hiyo video , hao viongozi wanvyoongea baada ya kususia kikao.
ohk polee nimerudia kuangalia nilichokosea sijaona tatizo! ila lugha za watu hizi unaweza kuamka ukajikuta unaandika vitu havina logical meanings!
 
Wafaransa walishaonyesha interest ya kulikarabati jengo la TB2 toka 2014 kama sio 2015 inasemekana Hayati aliwaeleza pesa hiyo ya kukarabati ni bora watusaidie nguvu kule Dodoma!!!Wakapiga kimya!!!
ndo alichokuwa anani-bore huyu baba anachojiskia yeye ndo final wakati wenzie walikuwa na nia ya ku-modernize T2 na kuongeza ufanisi maana Dar bado ni hub ya biashara! Imagine chuo cha Utumishi (TPSC) Tabora kilikuwa kipanuliwe, yeye kaenda kulazimisha ifunguliwe branch Chato as if kile chuo tayari kinachukua wanavyuo 50,000! Wakati alizuia ujenzi wa chuo cha kilimo cha Nyerere Butiama Musoma (Mpango wa awamu ya nne) kwa kisingizio cha UDOM kiko underutilized, a very controversial decision!
 
ndo alichokuwa anani-bore huyu baba anachojiskia yeye ndo final wakati wenzie walikuwa na nia ya ku-modernize T2 na kuongeza ufanisi maana Dar bado ni hub ya biashara! Imagine chuo cha Utumishi (TPSC) Tabora kilikuwa kipanuliwe, yeye kaenda kulazimisha ifunguliwe branch Chato as if kile chuo kinachukua wanavyuo 50,000! Wakati alizuia ujenzi wa chuo cha kilimo cha Nyerere Butiama Musoma (Mpango wa awamu ya nne) kwa kisingizio cha UDOM kiko underutilized, a very controversial decision!
Sasa haya yote ungeyasema 2020 jamii ingekuelewa, ila now umechelewa.
 
Sasa haya yote ungeyasema 2020 jamii ingekuelewa, ila now umechelewa.
Your legacy is always written after u r out of power when people can go through and assess and audit your decisions and after a thorough evaluation, -appraisal and -verification of your accomplishments (workdone)!
 
JPM hakufa kwa haki. Alikufa sababu ya kukataa kua corona inaexist ikampata kisha ikaamua. Aliletwa Nairobi hospotal lakino wapi.
Mwenyewe alisema kijana wake alipatwa na corona kumaanisha tayari virusi vya corona vilikua nyumbani kwake. Yeye mwenyewe Siku ya hukumu ndio atatwambia kwa nini alipuuza chanjo wakati wenzake museveni na Uhuru na kagame walichanjwa na wako hai as we speak.
Kata rufaa mkuu
 
Back
Top Bottom