Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,900
- 103,769
Niambie kipi kibaya nilichoandika? Ukinitukana mama yako anahusika!Geza ndg yangu usiwe kama uyoga!!!Mara chakula mara sumu!!! Tufocus kwny future!!!Malumbano yenu kuna watu hata yatufurahishi humu ndani kwa kweli!!!Hasa mnapotukana viongozi wakubwa wa nchi, viongozi hao hao wakubwa wengine wana umri wa baba zenu au mama zenu ukiachana na wadhifa wao wa uongozi!!!mnaweza pia kukosoa kwa staha tu si lazima lugha za kejeli na matusi!!!Mnatukaniana mpk wazazi ambao humu ndani hata hawahusiki.
