Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi







Screenshot 2021-10-19 181632.jpg
 
JNIA terminal two kufanyiwa ukarabati soon na wafaransa ... . Yo wajuzi wa mambo hii imekaaje kitaalamu The best 007 Geza Ulole Simon

Hii ndo diplomasia sasa Ufaransa ni nchi ya kuiendea sana ni kama suala la EACOP limewaleta karibu! Na ni wazuri kwenye agroprocessing na utalii! nakumbuka Accor group (Novotel) walikuwa wana-run Mt Meru Hotel kabla ya kukarabatiwa !
 
Nanusa harufu ya Partnership kati ya Air France na Air Tanzania.
ndo nachoombea kama unakumbuka nilibishana na mtu kuhusu Etihad nikasema watalii wetu wengi wapo Ulaya na North America na it will make sense kuwa na ubia na mashirika ya huko! Abu Dhabi it is too tricky kwetu! Yaani Air Tanzania iangalie kuchukua nafasi ya KQ katika ubia na KLM/Air France tuna kila vigezo vya kufanikiwa hata viwanja vya kimataifa pia! Kumbuka Mwanza na Songwe ni international standards na uwanja wa Msalato unakuja!
 
Hiyo ndiyo principle yangu mkuu, kwamba black ni black and white ni white, sema nyie wachumia tumbo huwa mnabadilika badilika, ila co kesi wana wamenisihi niache hizi mambo so wewe mkuu mm naachana na hizi mambo.
ukinigusa nakufyatua nimekoki bunduki hapa!
 
Back
Top Bottom