Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ukiniambia Azory Gwanda na Ben Sanane wako wapi basi nitamuacha kwa amani!
Kwani raisi sasa hivi ni nani ? Kwani kwa hizo akili zako za kishangazi unadhani mama sa 100 ajui hao wapo wapi???? kwanini unamuunga mkono mama wakati ajasema azory gwanda nq Ben sanane yupo wapi ,au wewe kwa hizo akili zako za kuchambia unafikili raisi ajui au awezi kujua hao jamaa walikwenda wapi ,na kama anajua je nikwanini asemi wapo wapi ,
KWANINI USIMPINGE MAMA SA100 KWA KUWA ALIKUWA NA UWEZO WA KUJUA HAYO ILA KANYAMAZA KIMYA ,sisi tunataka wewe ndiyo utujulishe hao wapo wapi maana raisi aliyopo madarakani ni upande wenu na kikwete
 
IMG_4805.jpg

IMG_4806.jpg

IMG_4807.jpg

IMG_4808.jpg

Tazara was built in 1970’s by the same Chinese Company that Built the so called sgr in Kenya.
It’s obvious they used the same technology and the Tazara 1970s locomotives are quite better than Kenya’s 2016.
With a boatload of confidence I can conclude that Tazara and Kenya’s so called sgr are comparable.
 
Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK hawajaua na hawajapoteza watu!
Wewe kweli ni mpumbavu nyerere kauwa watu wengi kuliko maraisi wote hapa tz na kaua hadi wazungu sema tofauti yake ni kwamba kaua kwa HAKI NI KAMA MFALME DAUDI ALIUA HADI MUNGU AKAMWAMBIA WEWE UWEZI NIJENGEA HEKALU KWA SABABU UNADAMU YA WATU WENGI MIKONONI MWAKO....KIKWETE KAUA WATZ WENGI KWA MADAWA YA KULEVYA NA UJAMBAZI KIPINDUPINDI ,KAUA WANAVIJIJI MAMIA KWA KUPITIA WAWEKEZAJI MIGODINI kama utakumbuka kuna matukio ya watz kufukuzwa machimboni kwa kufukiwa migodini, pia mabeberu walipo teketeza kijiji kizima ili kuwafukuza wananchi kwenye maeneo yao ili wachimbe madini ,hao mabeberu walimwaga sumu mtoni kijiji kizima kikateketea kwa watu kufa na kubabuka sura, vyombo vya habari vikarusha hizo taharifa zika zimwa ghafla kukawa kimya kabisa maana waliogopa habari kufika kwa baadhi ya wazungu wema ingeleta matatizo duniani ,habari za msitu wa mwagepande ambapo kikwete alifanya yake huko . MKAPA aliua wazanzibari kama elfu1400 hadi wakakimbilia kenya na hii ndiyo chuki ya Mama Samia kwa muungano ilipo hata sasa sema tu ni kama mchawi kupewa mwana .... ,habari za msikiti wa mwembe chai umezisahau
 
Wewe kweli ni mpumbavu nyerere kauwa watu wengi kuliko maraisi wote hapa tz na kaua hadi wazungu sema tofauti yake ni kwamba kaua kwa HAKI NI KAMA MFALME DAUDI ALIUA HADI MUNGU AKAMWAMBIA WEWE UWEZI NIJENGEA HEKALU KWA SABABU UNADAMU YA WATU WENGI MIKONONI MWAKO....KIKWETE KAUA WATZ WENGI KWA MADAWA YA KULEVYA NA UJAMBAZI KIPINDUPINDI ,KAUA WANAVIJIJI MAMIA KWA KUPITIA WAWEKEZAJI MIGODINI kama utakumbuka kuna matukio ya watz kufukuzwa machimboni kwa kufukiwa migodini, pia mabeberu walipo teketeza kijiji kizima ili kuwafukuza wananchi kwenye maeneo yao ili wachimbe madini ,hao mabeberu walimwaga sumu mtoni kijiji kizima kikateketea kwa watu kufa na kubabuka sura, vyombo vya habari vikarusha hizo taharifa zika zimwa ghafla kukawa kimya kabisa maana waliogopa habari kufika kwa baadhi ya wazungu wema ingeleta matatizo duniani ,habari za msitu wa mwagepande ambapo kikwete alifanya yake huko . MKAPA aliua wazanzibari kama elfu1400 hadi wakakimbilia kenya na hii ndiyo chuki ya Mama Samia kwa muungano ilipo hata sasa sema tu ni kama mchawi kupewa mwana .... ,habari za msikiti wa mwembe chai umezisahau
Kaka unaweza kutaja japo mtu mmoja aliyeuliwa na Nyerere kinyemela? (Extrajudicial killings)
 
Tena huyo kachoma mara 2 bado kovidi imempitia, chanjo ni biashara tu ya watu inasaidia kwa 18% dhidi ya covidi ndiyo maana walio chanjwa wana amrishwa kuvaa barakoa kuliko wasio chanjwa mnajua kwanini ??? Ili ionekane awapati maambukizi wapate kutudanganya kuwa chanjo imefanya kazi tuli tazamia kuwaona walio chanja wakijichanganya kwa wagonjwa wa covid bila ya barakoa ili tuthibitishe kama ni kweli chanjo inafanya kazi majuzi mama kakataa kutembelea maeneo yaliyo Tengwa ya wagonjwa wa kovidi licha kachanja ,
Kuikataa chanjo iliyokibalika duniani kote ni kujidhalilisha na kujiaibisha mbele za watu wenye akili. Kwa unavyofikiria wewe ni kwamba hii dunia yote watu ni wajinga isipokua hapa Tanzania tu, tena watu wenye kupinga ni wale ambao hawana mamlaka ya kisheria na kitaalamu katika eneo la tiba?
 
Tunataka pesa za kusaidia hao hao maskini.Maskini wewe anakusaidia nini?
Wetako jeupe kwani maeneo hakuna ya kuwekeza hata kigamboni kuna maeneo mengi tu ya fukwe manji ni tajiri fisadi na jambazi tu alikuwa hadi nana miliki shehena ya magwanda ya jwtz alitaka kuchafua nchi taharifa zake zipo usalama wa taifa yupo top kati ya watu hatarishi tz ndiyo maana hata baada ya magu kufa alirudi na kukimbia tena baada ya kupenyezewa taarifa na mafisadi marafiki zake waliopo serikalini kuwa ni hatari hata baada ya mama kuwa raisi
 
Wewe kweli ni mpumbavu nyerere kauwa watu wengi kuliko maraisi wote hapa tz na kaua hadi wazungu sema tofauti yake ni kwamba kaua kwa HAKI NI KAMA MFALME DAUDI ALIUA HADI MUNGU AKAMWAMBIA WEWE UWEZI NIJENGEA HEKALU KWA SABABU UNADAMU YA WATU WENGI MIKONONI MWAKO....KIKWETE KAUA WATZ WENGI KWA MADAWA YA KULEVYA NA UJAMBAZI KIPINDUPINDI ,KAUA WANAVIJIJI MAMIA KWA KUPITIA WAWEKEZAJI MIGODINI kama utakumbuka kuna matukio ya watz kufukuzwa machimboni kwa kufukiwa migodini, pia mabeberu walipo teketeza kijiji kizima ili kuwafukuza wananchi kwenye maeneo yao ili wachimbe madini ,hao mabeberu walimwaga sumu mtoni kijiji kizima kikateketea kwa watu kufa na kubabuka sura, vyombo vya habari vikarusha hizo taharifa zika zimwa ghafla kukawa kimya kabisa maana waliogopa habari kufika kwa baadhi ya wazungu wema ingeleta matatizo duniani ,habari za msitu wa mwagepande ambapo kikwete alifanya yake huko . MKAPA aliua wazanzibari kama elfu1400 hadi wakakimbilia kenya na hii ndiyo chuki ya Mama Samia kwa muungano ilipo hata sasa sema tu ni kama mchawi kupewa mwana .... ,habari za msikiti wa mwembe chai umezisahau
evidence?
 
how about kukubali mnapishana kimtazamo juu ya Magufuli wewe unamtukuza yeye hamtukuzi?
Geza ni malaya wa kisiasa kama alivyo sema nyerere kuwa malaya wa kisiasa ni nani huyu geza ndiyo alikuwa anaongea na magufuli humu jf akimwambia asiwape wakenya kuwa wakuu wa makampuni yaliyoko tz na ushauri wake magufuli alikuwa anaufanyia kazi na geza alikuwa akimsifia magufuli humu kwa mipango na miradi sasa wewe unajua kwanini hatukubaliani naye kwa kumpinga magufuli sababu ni unafiki
 
Back
Top Bottom