Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
Kwani raisi sasa hivi ni nani ? Kwani kwa hizo akili zako za kishangazi unadhani mama sa 100 ajui hao wapo wapi???? kwanini unamuunga mkono mama wakati ajasema azory gwanda nq Ben sanane yupo wapi ,au wewe kwa hizo akili zako za kuchambia unafikili raisi ajui au awezi kujua hao jamaa walikwenda wapi ,na kama anajua je nikwanini asemi wapo wapi ,ukiniambia Azory Gwanda na Ben Sanane wako wapi basi nitamuacha kwa amani!
KWANINI USIMPINGE MAMA SA100 KWA KUWA ALIKUWA NA UWEZO WA KUJUA HAYO ILA KANYAMAZA KIMYA ,sisi tunataka wewe ndiyo utujulishe hao wapo wapi maana raisi aliyopo madarakani ni upande wenu na kikwete