Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,169
- 29,782
15yrsUnaleta picha za Zamani Sana mkuu hizo dalada nyingi zilishakufa baada ya kubadili route,kwanza majoriy hizo Dala Dala zilishatoweka Mjini five years back
15yrsUnaleta picha za Zamani Sana mkuu hizo dalada nyingi zilishakufa baada ya kubadili route,kwanza majoriy hizo Dala Dala zilishatoweka Mjini five years back
Jamani wakenya wamesha choka wacha tunyoshane wenyewe kwa muda furani wakati tunasubiri mang'amuzi ya magufuli yakamilike kama daraja la tanzanite na sgr na bwawa la umeme nk ,




Wewe utaugua ugonjwa wa akili siku si nyingi mm na bingwa wa utambuzi kafanye checking ya mental disorder haraka sana tena haraka sanamiili yao ilionekana sio? Ikazikwa kwa heshima zote? Now where is Azory Gwamba and Ben Saanane? Familia zao ziwazike!
Ninachoongelea hapa ile wapinzani kupambania kile wanachotaka na wanachoamini ni sahihi kwa wakati huo na wako tayari kulipa Gharama (pay the price) ya hicho wanachokipambania (refer dr. Slaa). Kwa hilo wapinzani wa Kenya na hata Uganda nawapa kongole maana wapo aggressive and daring siyo hizi takataka zetu hapa Bongo ni majungu tu na kujependekeza na kusalitiana kwa chama na serikali iliyopo madarakani. Machafuko yanaweza kutokea hata hapa TZ na mara zote chanzo chake ni serikali zilizopo madarakani maana huwa hazikubali kutoka kirahisi hata kama zimeshindwa uchaguzi au zinaona kuna dalili upinzani kuchukua madaraka. (Kenya waliosabaisha machafuko na mauaji baada ya uchaguzi si vyama vya upinzani bali serikali iliyokuwa madarakani kushindwa kukubali matokeo kwamba wameshindwa katika uchaguzi). Mbona Zambia na malawi juzi juzi tu hapa wapinzani wamechukua madaraka lakini hakuna fujo maana walioshindwa walikubali kushindwa japo kama kawida ya waafrika walikubali kutoka madarakani kwa mbinde)Mkuu Kenya Kuna upinzani gani zaidi ya ukabila?, Upinzani wa Kenya imesaidiaje Kenya kupata maendeleo zaidi ya vurugu siku za uchaguzi na watu kuuliwa hovyo?
Nyerere aliisema kuna malaya wa kisiasa sasa huyu shangazi geza ni kielelezo cha kauli ya nyerereFuta na hizi basi, kama hufuti tutaendelea kukuona malaya wa kisiasa.View attachment 1979168
Jamani huyu Geza Ulole mimi nimegundua kuna tatizo kwenye ubongo linamjia akili zake zime pata tatizo The best 007malaya baba yako na mama yako!
Huyu jamaa isije kuwa tuna mchukia kumbe mwenzetu kapata matatizo kutokana na uchungu wa kifo cha magufuli akili zikavurugika kwa kuwa alikuwa anampenda sana JPM ,








Jamaa alimpenda sana magu kuliko sisi kifo chake kimemsababishia matatizo ya akili
kweli kabisa mbona ni easy tuhebu wote muache kumquote.. awe anajipostia tu yeye mwenyewe.. nyie mpite pemben.. mnashindwa nn kumpotezea? mbona yule opportunity cost na mashashola wengi mmewapotezea.. muongezen na huyo
tafuta shughuli ya kufanyaNairobi ina CBD tatu (Nairobi town, Westlands and Upperhill) ilhali nyinyi mna moja. Usijaribu kulinganisha hivyo viglass vitatu na CBD tatu za Nairobi.
Wajinga ni sisi tunao letewa chanjo wajanja ni wao wanao uza chanjoKuikataa chanjo iliyokibalika duniani kote ni kujidhalilisha na kujiaibisha mbele za watu wenye akili. Kwa unavyofikiria wewe ni kwamba hii dunia yote watu ni wajinga isipokua hapa Tanzania tu, tena watu wenye kupinga ni wale ambao hawana mamlaka ya kisheria na kitaalamu katika eneo la tiba?
wanaforce kuaminisha mambo,tulishawaambia kuwa wanabishana na watu ambao tumeshawahi fika nairobi na tunaijua na ushahidi juu tunawaonyesha,Av been to Nairobi countless times Kaka, there was a moment I and my friends walked From westlands (Ibis hotel ) tukakatiza Nairobi University hadi Uhuru Park na tukapiga misele sana hapo cbd, it’s just less than 5kms,
Your Nairobi Town is tiny.
Pia tz atukukataa chanjo bali tunatumia fursa aliyo tupa mungu ya kovidi kuwa dhaifu kwetu kuvuta subira hadi itakapo thibitika chanjo bora zaidiKuikataa chanjo iliyokibalika duniani kote ni kujidhalilisha na kujiaibisha mbele za watu wenye akili. Kwa unavyofikiria wewe ni kwamba hii dunia yote watu ni wajinga isipokua hapa Tanzania tu, tena watu wenye kupinga ni wale ambao hawana mamlaka ya kisheria na kitaalamu katika eneo la tiba?
Kuikataa chanjo iliyokibalika duniani kote ni kujidhalilisha na kujiaibisha mbele za watu wenye akili. Kwa unavyofikiria wewe ni kwamba hii dunia yote watu ni wajinga isipokua hapa Tanzania tu, tena watu wenye kupinga ni wale ambao hawana mamlaka ya kisheria na kitaalamu katika eneo la tiba?
Wewe joto la jiwe huwe unasoma kwanza vizuri ,nimesemaaaaaaa nyerere kaua sana ila ni kwa HAKIKaka unaweza kutaja japo mtu mmoja aliyeuliwa na Nyerere kinyemela? (Extrajudicial killings)
kama ndani ya treni zenu huwa mnachanganya na ng'ombe na huwa mnahesabu viatu,nguo na mizigo ya abiria sawa,jipe home work![]()
蒙内铁路单日旅客发送再创历史新高
mp.weixin.qq.com
SGR Kenya inabeba 10,100 passengers Kila siku
Izo Ni roughly 160-200 buses zimeondolewa kwa barabara,
Alafu mafala zingine zinaleta league ya buses hapa,
Australopithecus!


