Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Big bro acha kujichanganya kwamba eti DAR CBD kuna three blue buildings, simamia ukweli bhana.. and guess what CBD zenu zote tatu hakuna hata CBD moja inayoweza Toshana na posta pekee.. heb nisiongee sana tuende ground ๐Ÿ‘‡View attachment 1979497View attachment 1979498View attachment 1979499View attachment 1979501View attachment 1979506sasa na wewe unioneshe hiyo CBD kenya inayowezana na posta pekee ..na je Posta kuna majengo matatu ya vioo tu.?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Apa yenyewe unaniacha hoi sana nyie kenyans mjue kutofautisha Kati green spaces na mapori, Dar CBD Iko na green spaces pia hizi hapa ๐Ÿ‘‡View attachment 1979517View attachment 1979523ona vile green spacesโ˜๏ธ zinafaa kuwa in CBDs .. alafu tofautisha na hii ๐Ÿ‘‡hapa ni porini kabisa jamaniView attachment 1979527na hizo CBD zenu zote zinaonekana kwenye hii picha moja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View attachment 1979525
Unastahili kufahamu kuwa kwa kawaida,mji mkuu wa uchumi wa $102 billion kamwe hauwezi kutoshana na mji mkuu wa kauchumi kadogo ka $70 billion. Dar inaizidi Nairobi kwa idadi ya watu pekee. Kwenye majengo marefu tulishawapiga mkakaa chini zamani.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Big bro acha kujichanganya kwamba eti DAR CBD kuna three blue buildings, simamia ukweli bhana.. and guess what CBD zenu zote tatu hakuna hata CBD moja inayoweza Toshana na posta pekee.. heb nisiongee sana tuende ground ๐Ÿ‘‡View attachment 1979497View attachment 1979498View attachment 1979499View attachment 1979501View attachment 1979506sasa na wewe unioneshe hiyo CBD kenya inayowezana na posta pekee ..na je Posta kuna majengo matatu ya vioo tu.?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Apa yenyewe unaniacha hoi sana nyie kenyans mjue kutofautisha Kati green spaces na mapori, Dar CBD Iko na green spaces pia hizi hapa ๐Ÿ‘‡View attachment 1979517View attachment 1979523ona vile green spacesโ˜๏ธ zinafaa kuwa in CBDs .. alafu tofautisha na hii ๐Ÿ‘‡hapa ni porini kabisa jamaniView attachment 1979527na hizo CBD zenu zote zinaonekana kwenye hii picha moja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View attachment 1979525
Wasichojua ni kwamba Kuna maeneo kuna eneo hili lipo mjini Dar es salaam na hatuongei na Botanical Garden ipo pale Garden Avenue, Gymkhana yote na mnazi mmoja

Around Sokoine Drive by indaressalaam, ๆ–ผ Flickr


Around Sokoine Drive by indaressalaam, ๆ–ผ Flickr


Around Sokoine Drive by indaressalaam, ๆ–ผ Flickr


Trip to Selous Game reserve by indaressalaam, ๆ–ผ Flickr


Trip to Selous Game reserve by indaressalaam, ๆ–ผ Flickr
 
Hizo CBD tatu ziko wapi, yn kukishakuwa na vighorofa viwili vitatu ni CBD tayari in Kenyan standards

CBD zina mapori uliona wapi, eti green space wewe unajua tofauti ya green spaces na pori?

Green spaces alafu hapo hapo akitokea muwekezaji akafyeka pori mnashangilia

Ukweli ni kwamba Kenya bado ni pori msisingizie green spaces.
Upperhill ya Nairobi pekee inamajengo marefu mengi kushinda CBD ya Dar es Salaam.
 
Unastahili kufahamu kuwa kwa kawaida,mji mkuu wa uchumi wa $102 billion kamwe hauwezi kutoshana na mji mkuu wa kauchumi kadogo ka $70 billion. Dar inaizidi Nairobi kwa idadi ya watu pekee. Kwenye majengo marefu tulishawapiga mkakaa chini zamani.
Tangu lini Kenya ikafikia uchumi wa Tz, Kenya haiwezi na haitokuja kuikaribia Tz, na ndiyo maana nchi yetu inafanya miradi mikubwa ya kimataifa ambapo vinchi vidogo vidogo vya EA haviwezi, kuna vingi vya kujivunia vipo Tz na huwezi pata nchi yyte EA.
 
Hizo CBD tatu ziko wapi, yn kukishakuwa na vighorofa viwili vitatu ni CBD tayari in Kenyan standards

CBD zina mapori uliona wapi, eti green space wewe unajua tofauti ya green spaces na pori?

Green spaces alafu hapo hapo akitokea muwekezaji akafyeka pori mnashangilia

Ukweli ni kwamba Kenya bado ni pori msisingizie green spaces.
Nani amekuambia kwamba green space haiwezi kuwa pori? Nani alisema green space haiwezi kuwa na miti? Tembea dunia ujionee miji mikubwa hata za Wazungu zina green spaces na hizo green spaces zina miti.
 
Standard Passenger Bus Seat Arrangements.
Hadi bus kubwa zaidi idadi ya seat ni Tano nyuma Mwisho,
Ila kunyaland wameongeza zinakua sita kama CBD zao , Super seat Bus

IMG_2033.jpg



Kunyaland Standards

IMG_2032.jpg


IMG_2034.jpg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Big bro acha kujichanganya kwamba eti DAR CBD kuna three blue buildings, simamia ukweli bhana.. and guess what CBD zenu zote tatu hakuna hata CBD moja inayoweza Toshana na posta pekee.. heb nisiongee sana tuende ground ๐Ÿ‘‡View attachment 1979497View attachment 1979498View attachment 1979499View attachment 1979501View attachment 1979506sasa na wewe unioneshe hiyo CBD kenya inayowezana na posta pekee ..na je Posta kuna majengo matatu ya vioo tu.?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Apa yenyewe unaniacha hoi sana nyie kenyans mjue kutofautisha Kati green spaces na mapori, Dar CBD Iko na green spaces pia hizi hapa ๐Ÿ‘‡View attachment 1979517View attachment 1979523ona vile green spacesโ˜๏ธ zinafaa kuwa in CBDs .. alafu tofautisha na hii ๐Ÿ‘‡hapa ni porini kabisa jamaniView attachment 1979527na hizo CBD zenu zote zinaonekana kwenye hii picha moja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View attachment 1979525
Unastahili kufahamu kwamba miji yenye miti mingi ndio inayoheshimika duniani. Miji ambayo haina miti mingi inadharauliwa na kuitwa "concrete jungle". Environmentalists wanasema kwamba green spaces zinapunguza hali ya joto kwenye cities yaani inaitwa "heat sink". Concrete na cement surfaces ya cities inareflect miale ya jua na kuongeza hali ya joto katika effect inayoitwa "albedo effect". Kagoogle neno "albedo effect" utanielewa. Miti pia inaondoa carbon dioxide kwenye hewa na kuongeza oxygen kwenye hewa. Miti iliyopandwa kwenye barabara pia inaleta kivuli kwa wapita njia. Misitu mikubwa huchangia kuleta mvua. Miti huzuia mmomonyoko wa udongo. Usikejeli upanzi wa miti kwenye miji. Huu ndio mtindo mpya na hata miji zilizoendelea zimeanza kutilia mkazo upandaji wa miti kwenye miji.
 
Unastahili kufahamu kuwa kwa kawaida,mji mkuu wa uchumi wa $102 billion kamwe hauwezi kutoshana na mji mkuu wa kauchumi kadogo ka $70 billion. Dar inaizidi Nairobi kwa idadi ya watu pekee. Kwenye majengo marefu tulishawapiga mkakaa chini zamani.
Nchi yenye uchumi wa $10B lakini inaweza kuwatosheleza wananchi wake kwa chakula(Rwanda), lakini nchi yenye uchumi "fake'" watu wake wanakufa kwa njaa, yaani bila food donations maisha hayawezekani.
 
Unastahili kufahamu kwamba miji yenye miti mingi ndio inayoheshimika duniani. Miji ambayo haina miti mingi inadharauliwa na kuitwa "concrete jungle". Environmentalists wanasema kwamba green spaces zinapunguza hali ya joto kwenye cities yaani inaitwa "heat sink". Concrete na cement surfaces ya cities inareflect miale ya jua na kuongeza hali ya joto katika effect inayoitwa "albedo effect". Kagoogle neno "albedo effect" utanielewa. Miti pia inaondoa carbon dioxide kwenye hewa na kuongeza oxygen kwenye hewa. Miti iliyopandwa kwenye barabara pia inaleta kivuli kwa wapita njia. Misitu mikubwa huchangia kuleta mvua. Miti huzuia mmomonyoko wa udongo. Usikejeli upanzi wa miti kwenye miji. Huu ndio mtindo mpya na hata miji zilizoendelea zimeanza kutilia mkazo upandaji wa miti kwenye miji.
Nani alikwambia Dar hakuna miti, unadhani Nairobi inaweza kuifikia Dar kwa idadi ya miti? Kwenye idadi ya high rises Nairobi haifikii Dar na hata green spaces haifikii vile vile, kama unabisha tuanze.
 
Ardhi ya serikali haiuzwi inakodishwa kwa miaka 33 hadi 99 ,Hakuna tajiri anaezidi serikali, serikali ikitaka ku reclaim inaweza wakati wowote inapobidi.
Point yangu ni kwamba pale Coco beach serikali ilikataa kumpa muwekezaji kwa ajili ya matumizi ya wananchi wa hali ya chini, huo ulikua ni uamuzi sahihi
 
Back
Top Bottom