Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

My City, My Town.
Nairobi! View attachment 1979122
IMG_20211017_235124.jpg
View attachment 1979123
 
Ukiacha huyo...Max wa JF alitobolewa miguu na drill enzi za JK...Owner wa Mwanahalisi yy alimwagiwa tindikali, kuna Dr aling'olewa kucha Mwabepande...Slaa aliwekewa Sumu...Mwakyembe aliwekewa Sumu...kuna watu wana unganisha kifo cha Akwelina na JPM ila wanasahau kuna Kijana aliuwawa Arusha kwenye maandamano ya Cdm na mke wa Slaa akapokea kichapo nyang'anyang'a enzi za JK...
Plus Mwangosi yule mwandishi wa habari aliyeuwawa kule Iringa kwa kulipuliwa na Bomu na askari polisi wakati wa J.K
 
Dr aling'olewa kucha Mwabepande...
Dr. Ulimboka
Slaa aliwekewa Sumu...Mwakyembe aliwekewa Sumu...kuna watu wana unganisha kifo cha Akwelina na JPM ila wanasahau kuna Kijana aliuwawa Arusha kwenye maandamano ya Cdm na mke wa Slaa akapokea kichapo nyang'anyang'a enzi za JK...
Usimsahau Mwangozi aliyetolewa utumbo mbele ya kadamnasi
 
Upinzani (opposition) serious upo Kenya na Uganda hapa east africa na kwa hili lazima niwapongeze. Tanzania hakuna wapinzani ila wamejaa wachumia tumbo tu. Nadhani unaelewa namaanisha nini. Napenda sana Opposition iwe na nguvu ili CCM isibweteke kuleta maendeleo kwa watanzania ila sioni serious wapinzani zaidi ya wachumia Tumbo wasio na dira yoyote ya maana ya kuitoa Tanzania hapa ilipo kwenda mbele. Wacha CCM iendelee tu japo siyo chama changu ninachokisupport.
CCM ni mabingwa wa kufunika kombe, wakiminywa sana huwa wanaacha mwanaharamu apite ila kimsingi mambo yanabaki vile vile. Walifanye hivyo kwenye vyama vingi na hata kwenye chanjo. We angali nchi zote zilizoingia kwenye mfumo wa vyama vingi, zimeweza kuviondoa madarakani vyama vilivyowapatia uhuru, lakini CCM bado ni ile ile.
 
Ushuhuda wa mateso kutoka kwa washirika wa Mtakatifu JPM





MY TAKE
I wish i knew this was happened during the reign of mtakatifu cum malaika
 
CCM ni mabingwa wa kufunika kombe, wakiminywa sana huwa wanaacha mwanaharamu apite ila kimsingi mambo yanabaki vile vile. Walifanye hivyo kwenye vyama vingi na hata kwenye chanjo. We angali nchi zote zilizoingia kwenye mfumo wa vyama vingi, zimeweza kuviondoa madarakani vyama vilivyowapatia uhuru, lakini CCM bado ni ile ile.
Mkuu mi naongelea dhamira za kweli za viongozi wa vyama vya upinzani kujenga upinzani wa kweli. Viongozi wa juu wa vyama vya upinzani wote kwa sasa ni wanajali maslahi yao binafsi tu. Ukishakuwa na aina hiyo ya viongozi wa upinzani ni kama hakuna tu upinzani. Unafiki na uzandiki umejaa sana kwenye hvi vyama vya upinzani. Penye ukweli lazima ukweli usemwe hata kama ni mchungu.
 
Mm nitaacha huu upuuzi pale ambapo huyu mjinga ataacha upumbavu wake mana hawezi kula matapishi yake mwenyewe, au kama sivyo aseme amehamia kambi ya Kenya hapo ndipo nitaacha kumchalua, nitamfuata hata kwenye newz zake nitakuwa against huyu jamaa mpk akijitangaza kwamba yupo agaist na Tz, hatuwezi kuwalea wasaliti kama hawa.
 
Mm nitaacha huu upuuzi pale ambapo huyu mjinga ataacha upumbavu wake mana hawezi kula matapishi yake mwenyewe, au kama sivyo aseme amehamia kambi ya Kenya hapo ndipo nitaacha kumchalua, nitamfuata hata kwenye newz zake nitakuwa against huyu jamaa mpk akijitangaza kwamba yupo agaist na Tz, hatuwezi kuwalea wasaliti kama hawa.

hebu wote muache kumquote.. awe anajipostia tu yeye mwenyewe.. nyie mpite pemben.. mnashindwa nn kumpotezea? mbona yule opportunity cost na mashashola wengi mmewapotezea.. muongezen na huyo
 
Back
Top Bottom