Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani kuna kosa gani kutumia pesa vibaya ikiwa unaitafuta kwa bidii kuliko wengine magufuli alifanya kazi kubwa usiku na mchana hata angechota dola milioni 100 kuwa zake watz tungemwambia aongeze zaidi hata mara mbili ,kuna ubaya gani kumpa mchapa kazi wako mambo manono ,kama ingekuwa magufuli anafufuka kwa thamani ya dola $2bil tunge toa hizo pesa tumfufu hatunyoshee nch
Kutumia smartphone,kujiunga na mitandao ya kijamii haijawahi kua kipimo cha akili.Akili ni kile kinachoandikwa na mtumiaji wa smartphone na bando.
 
Wachwa bwebwe na ww...kwani ukimtukana mwenda zake ww ndio utaishi milele?...acheni kujifanya nyie ndio mnajua sanaa..mkichoka simna pumzika kwani ni lazima kila mtu aonyeshe yeye mwamba? Na mnamwonyesha nani?...
Nitalazimika mzee, kwa hali inavyoenda humu ndani labda italeta sanity kwa vile watu wanamwabudu humu ndani!
 
Looking busy.

IMG_1977.jpg


IMG_1975.jpg
 
Kutumia smartphone,kujiunga na mitandao ya kijamii haijawahi kua kipimo cha akili.Akili ni kile kinachoandikwa na mtumiaji wa smartphone na bando.
Hahaha. Ni kweli mkuu. Kuna watu humu wanatumia kichwa kama kabati ya kupanga meno.
 
Siyo jakaya ni magufuli kabla ya kuwa raisi alifanya kazi kubwa sana kwenye ujenzi wa barabara ,wakati huo jakaya yupo mjengoni anadinyana na kina sa100
Waziri wa ujenzi enzi za magu ndio alijenga uwanja wa ndege chato au unasahau mzee..
Ilikua ni ule wakati magu aliogopa corona na kukimbilia chato
 
Waziri wa ujenzi enzi za magu ndio alijenga uwanja wa ndege chato au unasahau mzee..
Ilikua ni ule wakati magu aliogopa corona na kukimbilia chato
Wewe unadandia tu mada hsta uelewi kwanza hiyo picha siyo chato airport hakuna hizo nyufa
 
[mention]The best 007 [/mention] [mention]ichoboy01 [/mention] [mention]Mgagaa na Upwa [/mention] [mention]Geza Ulole [/mention]

Mwenyekiti Ichoboy na wajumbe wako tunaomba mpitie taarifa hizi ili tujiridhishe kabla hatujatupia kitu kizoto

View attachment 1976556
Nashkuru mjumbe wa kamati nachukua nafas hii kumteua Teargas aje kujibu hoja asanteni sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom