Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
Sasa hii ndio unataka kulinganisha na Arusha.? Ntakuonyesha video ambayo haijambatanishwa na business center ya chuga.. mtaa mmoja tu, alafu ulinganishe na huo uchafu Kisumu 👇.
Kuna time wanajitoa ufahamu hawa ndugu zangu, muwazoeeNaelewa sasa mbona Geza Ulole kakula moto.
Na wala sina mda wa kumpangia mtu, wala hainiusu hiyo....Hutanipangia cha kupost. Data yangu unajifanya hujaiona? Basi hio yako pia mimi sijaiona.
ila masharia sijui macharia kasema hivi
Umepost kitu gani apooo
Wachwa bwebwe na ww...kwani ukimtukana mwenda zake ww ndio utaishi milele?...acheni kujifanya nyie ndio mnajua sanaa..mkichoka simna pumzika kwani ni lazima kila mtu aonyeshe yeye mwamba? Na mnamwonyesha nani?...sasa nitawarudishia matusi kwa kutumia Mwendazake pia ukiacha wazazi wa anayenitukana! Ikumbukwe mama humu alitukanwa pia! Maana humu ndani imefika mahali hata ku-post habari za chanjo unatukanwa!