Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakuu mtu yeyote yule ana uhuru wa kutoa hoja kwa kulingana na mtazamo,kama unataka kumjibu mtu mjibu kwa hoja ila kama unakerekwa kwa kukosa uvumilivu unaweza ukaachana na post husika iliyopostiwa kuliko kutoa matusi hovyo,
haipendezi wakuu hakuna binadamu aliye parfect 100%
tuachane na hizo kasumba
 
Hutanipangia cha kupost. Data yangu unajifanya hujaiona? Basi hio yako pia mimi sijaiona.
Na wala sina mda wa kumpangia mtu, wala hainiusu hiyo....ila masharia sijui macharia kasema hivi
Screenshot_20211017-075558.jpg
 
sasa nitawarudishia matusi kwa kutumia Mwendazake pia ukiacha wazazi wa anayenitukana! Ikumbukwe mama humu alitukanwa pia! Maana humu ndani imefika mahali hata ku-post habari za chanjo unatukanwa!
Wachwa bwebwe na ww...kwani ukimtukana mwenda zake ww ndio utaishi milele?...acheni kujifanya nyie ndio mnajua sanaa..mkichoka simna pumzika kwani ni lazima kila mtu aonyeshe yeye mwamba? Na mnamwonyesha nani?...
 
Back
Top Bottom