Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya hamuwezi kwasababu ya rushwa, wizi, ukabila na uwezo mdogo wa akili miongoni mwa viongozi wenu.
 
Kweli mkuu yaani yy ukimzidi tu anatukana,juzi niliweka humu alivyonifuata inbox na kunitupia mitusi. Sasa hivi tunamwona 🚮🚮
mbona hukuweka na ulivyonitukana? najua jibu lilikuuma ndo maana unalalama mpaka leo!
 
Mimi nikiweka data yangu hutaki kuamini lakini wewe unataka niamini data yako? Hahaha kuwa serious wakati mwingine.
Yako hii apa wala usijisumbue
Screenshot_20211017-075558.jpg
 
Wala siumii, but why members r ganging against you in here?
ganging kiheshima inaruhusiwa ndo sababu ya kuanzishwa hii platform ila ukileta matusi familia yako inahusika! Muulize malaika wenu Ben Saanane yu wapi?
 
Wale wakenya wa kulinganisha Mwanza na vimiji vyao vidogo vidogo uko kwao, Mwanza pitieni ha mjifunze kuhusu Mwanza👇
 
Tatizo ningekuona fair unge-address walionitukana matusi yapo hapo juu ila unani-target mimi sio! Haki ya kueleza maovu ya JPM haifutwi kwa matusi! Na ninaapa nitaendelea ku-expose madudu yake! Hamna mtu anaweza kuni-dictate nini cha ku-post as long kina ukweli!
Sawa we fanya unavyoona inafaa Ila basi isiwe kwa kutukanana matusi ya nguoni... Hii ni kwa wote jamani sio GEZA tu, watu wote humu tuheshimiane, tusipinge hoja kwa matusi, kistaarabu tu inafaa
 
Sawa we fanya unavyoona inafaa Ila basi isiwe kwa kutukanana matusi ya nguoni... Hii ni kwa wote jamani sio GEZA tu, watu wote humu tuheshimiane, tusipinge hoja kwa matusi, kistaarabu tu inafaa
Wacha unafiki wewe nionyeshe tusi la nguoni nililotukana! Au kusema JPM alikuwa Mkabila na alipedelea Chato kwa kutumia fedha za serikali bila kupitishwa na Bunge? Mimi nime-respond kwa kutumia wazazi wa wanaonitukana!
 
Hujatukana wewe, Ila jana niliona kuna bro alikutukana
sasa nitawarudishia matusi kwa kutumia Mwendazake pia ukiacha wazazi wa anayenitukana! Ikumbukwe mama humu alitukanwa pia! Maana humu ndani imefika mahali hata ku-post habari za chanjo unatukanwa!
 
Yo kenyans piteni hapa mjifunze kuhusu Arusha tz . Mama sa100 atembelea ujenzi wa mradi mkubwa wa maji jijini Arusha, utakao gharimu pesa za kitanzania zaidi ya shilingi billion 500
 
Back
Top Bottom