Tatizo unakuja na negative mentality unashindwa kuona point. Mi naongelea kumuenzi inavyopaswa! Hiyo mausoleum iliyojengwa haijakaa vizuri! hamna chuki hapa!
BTW huwezi kunilazimisha kumpenda unayempenda kila mtu ana opinion yake though opinion yangu kwenye hii nyumba ya kaburi la Magufuli ililenga kujenga.
This is Kenyatta's mausoleum
Tom Moboya's mausoleum
Oginga Odinga's mausoleum
Nyerere's mausoleum
Nkrumah's mausoleum
Mandela's Graveyard
VS
Magufuli's mausoleum
MY TAKE
Well wacha niambiwe namchukia ila that thing for Magufuli is ugly! No creativity!