Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar kama Dar.
tapatalk_1634208331460.jpg
tapatalk_1634208320693.jpg
 
Tra leo imetangaza imekusanya tsh trillioni 5.151(sawa na $2.2b) kwenye robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022
View attachment 1961549
kwa kulinganisha ;kra ilikusanya ksh 476 billion(sawa na $4.3b) in the same time period


A difference of $2.1b in the first 3months of the financial year
Pia tra ilikua na ufanisi wa 94.3% wakati kra ikiwa na ufanisi wa 103.2%
Good observation
 
Back
Top Bottom