The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Dar kama Dar.
Kwa nini barabara ni ya mchanga na sio lami? Inakera kuona mazingira mabaya namna hii yameizunguka jengo muhimu kama hili.
Thika inashida Dom aky. Dom roughroads kila kona
Huo ni mji mpya unajengwa kila mahali, Subiri 2025 ndio mtaelewa tunamaanisha nini, kila mahali Dom inajengwa hapo unapopaona hivyo lazima ipite lamiKwa nini barabara ni ya mchanga na sio lami? Inakera kuona mazingira mabaya namna hii yameizunguka jengo muhimu kama hili.




Natamani haya maeneo waanzishe kampeni ya kuotesha miti.
Good observationTra leo imetangaza imekusanya tsh trillioni 5.151(sawa na $2.2b) kwenye robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022
View attachment 1961549
kwa kulinganisha ;kra ilikusanya ksh 476 billion(sawa na $4.3b) in the same time period
![]()
KRA surpasses target revenue, collects Sh476.6 billion in 1st quarter
The taxman collected Sh476.7 billion between July – September against a target of Sh461.7 3 billion.www.the-star.co.ke
A difference of $2.1b in the first 3months of the financial year
Pia tra ilikua na ufanisi wa 94.3% wakati kra ikiwa na ufanisi wa 103.2%
Sikiliza hapa wewe 👇 . Jamaa walikua wanaobishana kwenye comments section kuhusu falsafa za mwalimu mmoja akajibiwa hiv 👇View attachment 1973997I'm from Tanga... And I got no comment 🚶🚶..
Kwanini
MY TAKE
Aisee, hii haijakaa sawa!
Prof Mama Tibaujuka alieleza vizuri na ni mtu wa UN Habitat!Kwanini
Kuwa mtu wa UN Habitat haitoshi.prof sio mungu so ndo hivyo chato inaenda kuwa mkoa.Prof Mama Tibaujuka alieleza vizuri na ni mtu wa UN Habitat!
Roho zao zinakataa ,walitamani wawe wao.lakini si hoja tutapambana hivyo hivyo.Mbona wanasema somewhere in Africa si waseme tuu Dar es salaam
Huyo ana bifu zake na Magu, wkt mwingine huwa anaongea utumbo kama co msomi, naona mama ameanza kutembea na legacy kwa vitendo, so wale haters wa mzee baba nawapa pole yaoProf Mama Tibaujuka alieleza vizuri na ni mtu wa UN Habitat!



