toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,164
- 2,822
So unachomaanisha tukienda kwa haki mnapoteza, ili muweze kushinda ni lazima mlete uchawi au sio. Sasa kwa taarifa yako mambo ya figisu yana mwisho mbaya sana ni bora mngetulia sindano ziwaingie la sivyo mtajajutia na kusema lati kama tungejua hali ingetugeukia hivi tungeendelea kuwa wapole tu kwa majiraniNi Kheri tu tuanze vita maana kwenye uhusiano mwema sisi ndio tunaumia.