Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni Kheri tu tuanze vita maana kwenye uhusiano mwema sisi ndio tunaumia.
So unachomaanisha tukienda kwa haki mnapoteza, ili muweze kushinda ni lazima mlete uchawi au sio. Sasa kwa taarifa yako mambo ya figisu yana mwisho mbaya sana ni bora mngetulia sindano ziwaingie la sivyo mtajajutia na kusema lati kama tungejua hali ingetugeukia hivi tungeendelea kuwa wapole tu kwa majirani
 
Uchumi na biashara unaendeshwa na market forces wala sio protectionism hayo ni mambo ya kizamani na yanarudisha nyuma EA integration.
Saa hii mnatetea market forces na nyinyi ni socialists. Tangu lini nyie communists mumeanza kutetea uchumi wa kibepari? Ama ni kwa sababu mnaona mnafaidika sana na system ya kibepari?
 
Jamhuri Dodoma mechi zitaanza pigwa usiku.
Screenshot_20211013-212910_Instagram.jpg
 
Tatizo ni kuwa agriculture sector yenu ni kubwa na inazidi kuwa kubwa so tukiwaachia tu mlete vyakula vyenu huku jinsi mnavyotaka mnaweza kuumaliza kabisa agriculture sector yetu. Nyie huwa mnasahau kwamba Kenya sisi pia tuna wakulima wetu na lazima tuwalinde. Tunastahili kuimport surplus food pekee. Yaani pale ambapo wakulima wetu wameshindwa kuzalisha sasa ndio tunastahili kuimport ili kuziba hilo mwanya. Lakini tukifungua mipaka wazi eti kila Mtanzania anayetaka kuleta hata gunia mbili za mahindi analeta tu basi wakulima wetu wadogo wadogo wataumia sana. Tukiwa na upungufu wa mahindi ndio tunastahili kununua kutoka kwenu. Kuna misimu za kuvuna mahindi hapa Kenya na wakati huo wakulima wa Kenya wanastahili kupata soko bila tatizo. Ila kuna misimu ambapo Kenya huwa hatuna mahindi kabisa so hapo ndio mnastahili kujazana na kuleta mizigo huku.
Hiyo ndio free trade economic au?
 
Governors ndio wanaokopa na kuiingiza nchi kwenye madeni yasiyolipika c ndio?

Governors ndio wanaoingia mikataba ya kipumbavu inayogharimu maisha ya Wakenya au sio? Nyie wakenya hamna akili.
Miradi ya governors na mikopo wapi na wapi mzee, umechanganyikiwa eee..
Hapa tunataka kuwaonyesha km serekali hku governors ndio wanafanya kazi kubwa sana manake hakuna serekali kuu itakuja ikujengee barabara, stadiums(county level), recreational parks,health centers,markets e.t.c yani hyo ni kazi ya governor na wala hawakopi ni ule ule mgao wa kutoka serekali kuu
 
Miradi ya governors na mikopo wapi na wapi mzee, umechanganyikiwa eee..
Hapa tunataka kuwaonyesha km serekali hku governors ndio wanafanya kazi kubwa sana manake hakuna serekali kuu itakuja ikujengee barabara, stadiums(county level), recreational parks,health centers,markets e.t.c yani hyo ni kazi ya governor na wala hawakopi ni ule ule mgao wa kutoka serekali kuu
Kwa hiyo huo mgao toka serikali kuu anaidhinisha nani.
 
Kumbe ujui hesabu yaani dola moja ya marekani inafanya mambo makubwa mara 3 ya mambo inayofanya kenya ,nadhani umenielewa Tony254 njoo uchukue ili zigo la mavii linaitwa komora huku
Umekasirika kuona ya kwamba hela yetu ina nguvu east africa

Mwenzako Lusematic amekimbia ndio kakutuma uje kumsaidia sio..

Dola ya marekani ina purchasing power karibia ulimwengu mzima, upo mzee..
Leo nataka niwatoe matongo tongo aisee, kw east africa ni hela ya kenya popote unatinga na ksh1000 hapa east africa na una kula vinono mpka raha
 
Back
Top Bottom