Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nauona mwisho wa Kenya ukiwa mlangoni kabisa, tunawapiga ugenini tunawapiga nyumbani, mm cwez kuwa raia wa nchi ya kipumbavu nilishakataa, yn nchi itakayonimiliki mm The best 007 lazima iwe nchi ya kijanja kama Tz hii mpya a.k.a the superpower of East and Central Africa
 
ndo nilichokuwa nasema ndo maana nimeleta la Mandela na Bush Snr pia watu waone makaburi ya familia yanavyopangwa! Kama unajenga mausoleum basi iwe inapendeza au kama ni makaburi tu kama ya familia basi garden nzuri ya kuvutia! basi hata mkishindwa basi kokoto nyeupe! Serious japokuwa la Mkapa gharama ndogo linapendeza kuliko la Magufuli!

2.png




116205898_1025303981236795_458354732861382222_n.jpg




116309634_1025304051236788_3691615541364502585_n.jpg

Imependeza, haijapendeza haina umuhimu kivile
 
Ofcoz kwa legacy hawafananii ila hapo kwenye kaburi sijui lipendeze, mara sijui wamjengee ili liwaje haina umuhimu
Kaburi ni kaburi tu, miaka inayokuja yupo kiongozi atajua umuhimu wake atalifanya liwe la kimataifa, kwa ss wacha liwe hilo hilo la kiruga ruga, kwanza miongoni mwetu hatupendi kusikia mwamba kafa, wacha tuzoee taratibu zen tutakubali matokeo but kwa ss wacha liwe la kishamba cz bado hajafa.
 
Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.
mtakufa njaa
 
air tanzania aka wings of kilimanjaro are only flying coffins. hamuna ubunifu kwenye hii fani, kwenyu hii ni jambo geni sana. tuulize sisi watu wenye uzoefu katika hii sector. tuna tesa hadi anga ya juu
Mbona uzoefu wa kukunya kwa mfuko amtuambii
 
Huu uhusiano mwema kati ya Kenya na Tanzania naona unaleta madhara mabaya katika uchumi wa Kenya. Hata afadhali ile enzi ya Magufuli ambapo tulikuwa tunapigana vita vikali kila siku. Saa hii wakulima wenu wanauza vyakula Kenya, ndege yenu inakuja Kenya kuuwa ndege yetu. Hapana, haiwezekani. Afadhali turudi kwa kupigana tu. Naomba uhuru alianzishe dude, afunge mipaka tena.

Mmeshindwa na Slomalia huku mtaweza ? Nyie tulieni tu,
Tukiwaminya mtapoteana.
 
Back
Top Bottom