Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya bado ni kijiji, eneo kubwa halina majengo.
my friend, in nairobi there is controlled development, there are towns and residentials along the stretch of thika road which is almost 50 km up to thika. and if this picture represents the majengo you are talking about then we rather not. green spaces are even better, we gotta breathe bruh
39789654-aerial-view-of-the-city-of-dar-es-salaam-showing-the-densely-packed-houses-and-buildings.jpg
 
Huwa mnanichekesha sn mnaposema Turkana imepata road wkt hiyo ni highway inatoka county flani na kupita counties kadhaa.
Lakini si bado ni barabara ya Lami inayokatiza Turkana county na kuelekea South Sudan. Waturkana bado watafaidika pakubwa na barabara hii ya lami.
 
Mkuu mi nakumbuka wakati advance tunasoma complex numbers na probability ambazo tulianza soma toka o'level labda ile advance wakatifundisha basic ya programming labda web development au java au mambo ya graphics design au basic ya networking maana kwenye physics advance kunakuaga na electronics inguka an networking kidogo . Ni kitu ambacho ukitoka shule uwaweza apply kwenye maisha na mambo yakaendelea . Sio kuchora panzi
Kuna shule za o-level mbona wanafundishwa hivyo sema ni private. Kuna moja mimi nlipewa kazi ya kufundisha form 2 linear programming kutumia ms excel na basic web tena standards zilikua kutumia div na ni 5 years ago, just imagine now wameongeza nini.
 
Unajua ile awamu kuna watu hata walipokuwa wakitaka kutaja majina yao ni LAZIMA kwanza waanze na jina la Hayati. Mfano mtu alikuwa anaweza kusema “kabla ya yote kabla sijajitambulisha, napenda kumpongeza Rais wa Awamu ya Tano Mh John Joseph Pombe Magufuli kwa juhudi zake kwa kuniwezesha kuwa hapa, mimi naitwa The Best 007 Mzalendo” sasa hii hangover bado ipo kiasi ambacho watu hawataki hata kushirikisha akili zao kidogo kila kitu bado wanarefere kwa hayati. BTW pionier wa DMDP ni JK, JPM alijikuta yupo tayari hatua za utekelezaji, nadhani kipindi chake labda hata mradi usingepita sababu pesa zinatoka kwa mabeberu…..ila sasa sifa na utukufu vyote vinaenda kwake……it’s very absurd.
Wewe unachekesha sana wewe, JK kakaa miaka mingapi je hizo pesa za world bank zilikuwa haziji? Mtapinga ukweli hata lini? Pesa zilikuwa zinakuja tatizo zilikuwa zinaishia mifukoni mwa wajanja, c kama Kenya tu unadhani shida yao ni nn kama c uongozi mbovu? Pesa huwa zinakuja lkn huwa zinaishia mifukoni mwao wajanja, JPM kawastua watu na ndiyo maana unaona hata hizi pesa za mkopo zimewekwa hadharani, ingekuwa enzi za msoga zingepigwa zote.
 
Kwaiyo wewe maendeleo kwako ni kukopa hela china na kujenga barabara na kuweka street lights Vijijini kwenye ufukara wa kufa mtu, how many people in those areas do even poses cars
Kwa hivyo unajaribu kusema kwamba barabara hii ya lami haitasaidia watu wanaoishi Turkana? Hivi unajua barabara hii ya lami imepunguza muda wa kusafiri kutoka Nairobi hadi Turkana kutoka siku tatu au hata siku nne hadi chini ya masaa 18?
 
Wewe unachekesha sana wewe, JK kakaa miaka mingapi je hizo pesa za world bank zilikuwa haziji? Mtapinga ukweli hata lini? Pesa zilikuwa zinakuja tatizo zilikuwa zinaishia mifukoni mwa wajanja, c kama Kenya tu unadhani shida yao ni nn kama c uongozi mbovu? Pesa huwa zinakuja lkn huwa zinaishia mifukoni mwao wajanja, JPM kawastua watu na ndiyo maana unaona hata hizi pesa za mkopo zimewekwa hadharani, ingekuwa enzi za msoga zingepigwa zote.

Kaka, sina shida kabisa na mapenzi yako na JPM, ni hako yako kabisa kumpenda utakavyo, ila mapenzi yasikuzidi ukashindwa kuchekecha facts…..documents za DMDP zipo online zitafute uone na uzisome…..utaona ni lini mradi uliandaliwa na hatua za utekelezaji wake…..BTW phase 2 inaanza hivi karibuni, hii nayo wapenzi wa SSH hutawaambia kitu akistaafu……watakwambia “toka Mama yetu haondoke hatuoni barabara ya lami tena” Watanzania are very fun people sometimes
 
Kwa hivyo unajaribu kusema kwamba barabara hii ya lami haitasaidia watu wanaoishi Turkana? Hivi unajua barabara hii ya lami imepunguza muda wa kusafiri kutoka Nairobi hadi Turkana kutoka siku tatu au hata siku nne hadi chini ya masaa 18?

Priorities Mzee, Barabara ni Muhimu, na maendeleo ya watu ni Muhimu, imagine those poor people need water and Food and you are sending them street lights.
 
Priorities Mzee, Barabara ni Muhimu, na maendeleo ya watu ni Muhimu, imagine those poor people need water and Food and you are sending them street lights.
Angalau tumekubaliana kwamba barabara ya lami ni muhimu. Hapo kwa street lights pengine upo sahihi. Ila street lights inawekwa na county government of Turkana. So pengine governor wa Turkana ndio angepeleka mgao wa fedha wa county ya Turkana kujenga bwawa la maji badala ya street lights. Pia kuna watu wanaoweza kusema kwamba street lights ina umuhimu wake. Yaani ni debatable ila hapo kwa street lights nakuelewa.
 
Angalau tumekubaliana kwamba barabara ya lami ni muhimu. Hapo kwa street lights pengine upo sahihi. Ila street lights inawekwa na county government of Turkana. So pengine governor wa Turkana ndio angepeleka mgao wa fedha wa county ya Turkana kujenga bwawa la maji badala ya street lights. Pia kuna watu wanaoweza kusema kwamba street lights pia ina umuhimu wake. Yaani ni debatable ila hapo kwa street lights nakuelewa.

Hakuna kitu kama County Government Mzee, those funds are coming from gok. serikali ya China haïkopeshi county inakopesha Kenya, that Turkana is just poor haina uwezo hata wa kujitegemea kwa chakula,
Then Hapo wala sio suala la debate, watu wengi wana mawazo ya kipumbavu. You can build a simple paved road and the remaining funds you drill wells. Water is life .
Those people pushing for those grand projects is because of their greed for money
 
Sin
Point yangu ni kuwa Turkana inabadilika na maendeleo yanazidi kufika Turkana sio Nairobi tu. Saa hii wana barabara ya Lami na pia wana stima.
Since independence ndo wanakumbukwa?huwezi kukuta maeneo ya wakikuyu yakiwa hivyo Kama turkana
 
Kaka, sina shida kabisa na mapenzi yako na JPM, ni hako yako kabisa kumpenda utakavyo, ila mapenzi yasikuzidi ukashindwa kuchekecha facts…..documents za DMDP zipo online zitafute uone na uzisome…..utaona ni lini mradi uliandaliwa na hatua za utekelezaji wake…..BTW phase 2 inaanza hivi karibuni, hii nayo wapenzi wa SSH hutawaambia kitu akistaafu……watakwambia “toka Mama yetu haondoke hatuoni barabara ya lami tena” Watanzania are very fun people sometimes
Wewe ni mpuuzi tu unayetaka kubishana na facts.
 
Kavunja ngombe wenu CoW, kachukua bomba la mafuta toka UG, kafanya sgr moshi yenu ionekane obsolete hivyo kuchukua connection ya burundi, rwanda, congo, Uganda hadi south sudan na pia kaongeza maumivu ya KQ hivi ni vichache tuu ambavyi kenya ime suffer at the hand of Magufuli in just 5 years only but effect yake itakuwa felt in kenya for long years to come. Sasa bisha kwa fact sio mapovu.
Ujenzi wa sgr ya magufuli haujakamilika na alikufa mwaka moja uliopita. What a waste.
 
Jirani kasepeshwa Mapema tu

View attachment 1972900

mechi ijayo
round 5 itakuwa
-Uganda vs Kenya
-Rwanda vs Mali
hapa nchi za EA (KE&RWD) zimpe support Uganda.. Rwanda amkazie Mali.. amfunge kbsa Mali.. kule kenya asimkazie Uganda amwache hata afunge hata kagoli kamoja then wacheze kishikaji

Round 6 ya mwisho itakuwa
-Mali vs Uganda
-Kenya vs Rwanda
hapa sasa uganda ndo apambane afunge au atoke draw.. hizo nyingine KE vs RWD watajua wenyewe.. wafungane au watoke draw
ikiwa hivi, Uganda atafuzu kwenda playoffs
 
Unajua ile awamu kuna watu hata walipokuwa wakitaka kutaja majina yao ni LAZIMA kwanza waanze na jina la Hayati. Mfano mtu alikuwa anaweza kusema “kabla ya yote kabla sijajitambulisha, napenda kumpongeza Rais wa Awamu ya Tano Mh John Joseph Pombe Magufuli kwa juhudi zake kwa kuniwezesha kuwa hapa, mimi naitwa The Best 007 Mzalendo” sasa hii hangover bado ipo kiasi ambacho watu hawataki hata kushirikisha akili zao kidogo kila kitu bado wanarefere kwa hayati. BTW pionier wa DMDP ni JK, JPM alijikuta yupo tayari hatua za utekelezaji, nadhani kipindi chake labda hata mradi usingepita sababu pesa zinatoka kwa mabeberu…..ila sasa sifa na utukufu vyote vinaenda kwake……it’s very absurd.
Napita wasije wakanikuta wenyewe humu
 
Elewaneni kirahisi

UAE kuna Dubai na Abu dhabi .
Etihad hub iko Abudhabi
Emitates na Flydubai hub iko Dubai

watu wengi hupitia Dubai kuliko Abudhabi

Ethihad alikuwa na route ya abudhabi to Dar ..ila ameikatisha because it was not profitable ..

Anashindana na Emirates na Flydubai
...
So kama Atc ataenda Abu dhabi atapata shida sana kupata wateja unless wa codeshare..ili Ethihad asiwe anakuja Africa kabisa ...watumie Dar kama Hub..na hapo inabidi Atc aruke route zote za Ethiad za Africa...Kama joburg na Nairobi...

Lasivyo ATC hawezi kutoboa mwenyewe akienda Abudhabi kufwata watu..route hailipi hyo..hata kwenda Dubai atasua sua...

ATC ajikaze aanze kwenda London kusaidia Wa Zambia ,Congo ,Zimbabwe ku connect kwenda London , Guangzhou ,Mumbai

Maana Alivyoweka Route ya Guangzhou mwanzoni kuwa Tue, Thur na Sat

Na akaweka Lusaka,Harare,Ndola ,Lubumbashi kuwa hizo siku ..unaona kabisa ana target hao pax wakonnect Via Dar kwenda Guangzhou..

ATC itakuwa ngumu kuchukua Waganda ..maana wao wengi wanapitia NBO...ndo karbu kwao

Sitashangaa hata London ikianza tukiwa tunaenda Tues ,Thurs na Sat

Wajitahidi na mumbai waweke hizo siku ..plus turudi na Joburg..maana WA SA lazima wapitie Addis au NBO kwenda India
Babu umeelezea kiistarabu sio kama yule mkuu mwingine,si vibaya ulivyofafanua ila nionavyo etihad airlines katika magiant ya usafirishaji wa angani na wenyewe wapo,now tuna airbus 4 ambazo zinaweza kusafiri direct to abu dhabi,etihad bado inafika mataifa mengi ya europe binafsi naona hiyo route si mbaya kihivyo ikiwa hata sasa hivi ukibook trip ya dar kwa etihad kutokea europe wanakuuzia ticket ila ukifika abu dhabi wanakuunga ethiopia au wakulete hadi nbo then kq ndio ikulete dar,kia au znz!siamini trip 1 au 2 kwa wiki to abu dhabi kama kutaitereresha emirates au qatar,uwanja wetu una vigezo vyote vya transit kubwa, kama ushafika jkia au bole airport most of passenger ni wacongo,nadhani kwa africa hivyo viwanja wacongo ndio wanaongoza transit now tuna ndege 1 tu ya direct to europe,atcl inaanza safari ya congo unaonaje wale wacongo tukawa tunawavuta dar kwa atcl then wanaunga atcl hiyo to abu dhabi then huko wanaunga tena,tuna ndege now sidhani kama kuna haja ya kuhofia route,mimi nishaiona kwa macho yangu ethiopia inapiga route ya vienna na warsaw sehemu ambazo utarajii,katika maisha hakuna kuogopa binafsi upungufu wa etihad kutokuja dar naona ni opportunity nzuri kwa atcl kupiga hiyo route
 
Hakuna kitu kama County Government Mzee, those funds are coming from gok. serikali ya China haïkopeshi county inakopesha Kenya, that Turkana is just poor haina uwezo hata wa kujitegemea kwa chakula,
Then Hapo wala sio suala la debate, watu wengi wana mawazo ya kipumbavu. You can build a simple paved road and the remaining funds you drill wells. Water is life .
Those people pushing for those grand projects is because of their greed for money
Barabara ya lami hususan national highways inajengwa na national government. Street lights ni jukumu la county government. Kwa hivyo kama una tatizo na street lights basi blame inamwendea governor wa county.
 
Back
Top Bottom