Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu mi nakumbuka wakati advance tunasoma complex numbers na probability ambazo tulianza soma toka o'level labda ile advance wakatifundisha basic ya programming labda web development au java au mambo ya graphics design au basic ya networking maana kwenye physics advance kunakuaga na electronics inguka an networking kidogo . Ni kitu ambacho ukitoka shule uwaweza apply kwenye maisha na mambo yakaendelea . Sio kuchora panzi
Mimi sikuwa na bahati hiyo wakati naanza form 1 maabara za computer ndo zilikuwa zinajengwa basi nimekuja kujua internet baada ya form IV nilipata kabahati cha kufanya computer course BIDCO. From there onwards interest iliendelea kukua ila bahati mbaya sikuwa na basics nzuri, imagine ningekuwa exposed while niko darasa la kwanza!
 
Ndio manake wabongo hatukosei kuwaita wazembe, sasa yani km wewe mwalimu basi ni kujikalia tu mpka mwisho wa mwezi ukisubiria hyo hela..

Jamani jamani, yani bado ile kasumba kwenu mtu akifanya kazi serekalini tosha ashamaliza kila kitu..
Kazi za serekalini hzo zitumie km sehemu ya kupata mitaji na hela ya haraka haraka na ya uhakika wala sio hela tegemezi katika maisha yako ya kila siku..

Yani nyie sijui mtazinduka lini, kuna watu hizi kazi za serekalini huaga wamafanya na mambo yao mtaani wanapiga freshy tu we jikalie tu ukisubiria mwisho wa mwezi

Kwaiyo wewe unaamimi waajiriwa Wa serikali huwa wanakaa tu wanasubiria mshahara ?
 
Legacy gani? Tanzania bado ni third world country very poor. Magufuli did nothing.
Kavunja ngombe wenu CoW, kachukua bomba la mafuta toka UG, kafanya sgr moshi yenu ionekane obsolete hivyo kuchukua connection ya burundi, rwanda, congo, Uganda hadi south sudan na pia kaongeza maumivu ya KQ hivi ni vichache tuu ambavyi kenya ime suffer at the hand of Magufuli in just 5 years only but effect yake itakuwa felt in kenya for long years to come. Sasa bisha kwa fact sio mapovu.
 
Uchumu gani unaozungumzia an economy that cannot feed its people hiyo nayo ni economy? The gdp is good on papers now feed em those papers.
Hakuna kitu katika somo la economy linalosema a governmet(feed its people)..
Rudi shule tena mzee au wewe utuletee siku tz serekali imelisha watu
 
ndiyo maana nilipokuandikia hiyo post nilijua kabisa wewe ni kichwa maji nilijua kuwa fikra zako zitaiahia hapo hapo na ndiyo maana nikakuita zuzu
Umetoka mtupu
Yani umeshidnwa ujibu nini, nenda mwana kwenda yani hapa kwangu sio rahisi rahisi ki hvo..
M mtu naenda naye kulingana na uhalisia wake, we ulikuja kijuaji nikakuweka sawa sasa naona sai unahaha
 
Kwaiyo wewe unaamimi waajiriwa Wa serikali huwa wanakaa tu wanasubiria mshahara ?
mi nimeishia kumcheka tu,dhumuni la kumtolea ile mifano hata hajajua ni nini na hiyo yote sababu ni kichwa maji...

ishu ilianzia hapa 1000kshs ambayo ni sawa na 20,000tshs nilikuwa najaribu kumpa picha kwa hizo pesa kwa tanzania na kenya zina thamani gani kimatumizi,yaani kwa kila nchi na pesa
 
hakuna mkoa utakaokuwa na upungufu wa madarasa secondary .. asante Mama


kwenye hili vip? kenya shule zote madarasa yanajitosheleza? au ndo tunaenda kuwachanjia mbuga wabaki kushindana na uganda

wakenya mjue kuwa pesa ipo tayar, kilichobaki ni kutumiwa

Kwenye report ya hivi karibuni mama ameonekana kua possessed na Roho ya Magufuli
 
Back
Top Bottom