Nairobi Gossip Club
JF-Expert Member
- Sep 25, 2021
- 503
- 432
Sina ubaya napita tu🤣🤣🤣
Naona wame copy jezi za yanga na kuchukua jina la mabasi yetu ya zamani uda
Eti🤣🤣🤣Hiyo picha ya kwanza, ndio beach lao la kijiweni ama??? 😂 😂 😂
Wakitoka hapa, wanaenda pale kuruka machomo! 🤣 🤣 🤣 🤣 #KilazaBayEti🤣🤣🤣
Haaa nimeuona huo uziAnakwambia Nigeria kuna kelele mno yani unakuta mtaa una kelele kichizi kwasababu wapo wengi mno alafu mazingira hovyo.

nigeria ni bomu la nuclear la africa nchi imeshindikana ile ,, litalipuka siku yoyotehow about continuous welded meter gauge rail? continuous welded rail? continuous welded MGR?
Eti huku Kuna nyumba ya kumilikiwa💁💁💁Wakitoka hapa, wanaenda pale kuruka machomo! 🤣 🤣 🤣 🤣 #KilazaBay
Wacha kujaribu kutafuna miraa kwa kalio....embu kaah mbali na hiii kituuu...mind your level....



Ni hapo kukinyesha sasa!🙆🏾♂️Eti huku Kuna nyumba ya kumilikiwa💁💁💁
View attachment 1965956
View attachment 1965958
View attachment 1965959
Kenya kwenye ubunifu zero🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naona wame copy jezi za yanga na kuchukua jina la mabasi yetu ya zamani uda
Wachw bangi ..ww furahi mepata longest overpass...maswala ya three level interchange kaaa nayo mbali..naona inakumiza kichwa



...please dont 4gate the fee...mtadinywa mpka utumbooo☻Ivi ww huwa unatumia githeri?...niambie iyo picha ni dar ya kunya land au...hayo maudongo mekundu umeyapatajeDaaahalafu utakuta mtu anaita kilimani uchafu
View attachment 1965908
View attachment 1965909
View attachment 1965910
Asante kwa render 🤣🤣🤣🤣Hii nayo ni river estate Ngara na majengo tisa ya 34 flrs kila moja na hatuna kelele kama wabongolalaView attachment 1964447View attachment 1964452
Asante kwa render 🤣🤣🤣🤣Na bado kuna hii project ya affordable housing yenye majengo 29 ya over 35 floors.Endermann walishinda hiyo contract ya kuyajenga......inamaana bada ya kumaliza ujenzi wa river estate wanaanza hi mara mojaView attachment 1964624View attachment 1964625View attachment 1964626View attachment 1964627
Na hio upper hill na ngara zinafanya nn ndani ya picha ya CBD 🤣🤣🤣🤣Kusanya hivyo vijiji vyote vya Africa vije vipambane na Nairobi pekee...CBDView attachment 1964635View attachment 1964636
Kilimani na yenyewe ni city 🤣🤣🤣🤣
Naona mabasi ya ukweli nikilinganishe na zile ushuzi za apo nirobary....
kama wewe ni jobless tafuta kazi ya kufanya na kama una kazi bila shaka utaishia kusurutizhwa milele na kupokea low/local salarySaidia kilaza mwenzako kuleta facts humu, kama hauna fyata, pita kimya kimya kama wenzako![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()