Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona mumeanza kuhaha
Hta continuos welded SGR na electric SGR hakuna..
Unapinga pia..
Alafu kwn mada ya continuous welded MGR huitaki tena kwn
Ivi kuna watu wanhaha kama nyie...iyo esiiijiaraaaa yenu ndiooo MGR yetu
 
Yaani unaeza sema Ghana ni nchi ya hovyo? 😂 😂 😂 😂 ata kama ni wivu hii yako imezidi sasa.., yaani ata hakuna sehemu nje ya Dar inakaribia the second city of Ghana, Kumasi.., hawana ufukara kama wa Tanzania na Nigeria.., unapenda nchi yako sana, hadi unajitia hamnazo kuhusu nchi zingine zilizo wazidi kwa mbali.., 😂 😂 😂 😂 Tz na Nigeria have a lot in common., Dar ni Lagos ya East Africa, ushuzi umetapakaa kote kote., cbd tu ndio sehemu ya maana., na BRT, na flyover mbili 😂 😂 😂

Kumasi hiyo 👇 .., Tanzania nchi ya city moja tu usijitie hamnazo, jikubalini tu.,


nje ya Dar hakuna airport kama hii ya kumasi almost finished..,

Acha basi kuongopa we jamaa, kwanini utumie Hadi uongo ili kuhalalisha upumbavu wako, is Kumasi even closer to Arusha in terms of development.? Au kelele tu na wewe uonekane .? Acra na Kumasi ni sawa na Mwanza na Arusha tu.. hao wanatushinda labda wachezaji wa mpira
 
Nachona apa ni desparate person who try so hard to prove nothing....wacha kuchanganya picha we slum dweller...unataka kuona vitu vizuri.....mkunya anapojaribu vita ya usafi wakati wao wanaidhi dampoView attachment 1966102View attachment 1966103View attachment 1966104View attachment 1966105View attachment 1966107View attachment 1966108View attachment 1966110View attachment 1966111View attachment 1966112View attachment 1966114View attachment 1966116View attachment 1966117
TANZANIA IS SET TO BUILD MODERN PUBLIC LATRINES ALONG THE EAST AFRICAN NATION'S MAJOR HIGHWAYS IN A NEW DRIVE TO CONTROL OPEN DEFECATION (OD).
Anyitike Mwakitalima, coordinator of the National Sanitation Campaign, said Sunday that the initiative is one of the government's efforts to fulfill the UN Sustainable Development Goals (SDGs), which states; "by 2030, achieve access to adequate and equitable sanitation and hygiene for all and end open defecation, paying special attention to the needs of women and girls and those in vulnerable situations."
He said that the Tanzanian government through Ministry of Health Community Development, Gender, Elderly, and Children was alarmed by open defecation along highways, hence is determined to build toilet facilities in those strategic areas, across the east African nation.
"As a government, we're concerned about the high number of people who defecate in the open mainly along the main highways in the country," the official said.
He said that the government plans to build public latrines in the highways which connecting Dar es Salaam to Tunduma (two latrines), Dar es Salaam-Mtwara (one latrine), Morogoro-Mwanza (two latrines), Kagera-Kahama(two latrines), Mbeya-Katavi (one latrine), and Dar es Salaam-Arusha (one latrine).
According to him, the open defecation was one of the leading causes of the increase in the number of typhoid and diarrhea cases in the county.
Mwakitalima said that the National Sanitation Campaign is also mandated to ensure every Tanzanian is using a sanitation facility.
He, however, said that campaign is also projected to reach out 15,000 villages and streets across the country.
The first phase of the project started in 2012 and ended in June last year.
Source: Xinhua
😁😁😁
 
Nachona apa ni desparate person who try so hard to prove nothing....wacha kuchanganya picha we slum dweller...unataka kuona vitu vizuri.....mkunya anapojaribu vita ya usafi wakati wao wanaidhi dampoView attachment 1966102View attachment 1966103View attachment 1966104View attachment 1966105View attachment 1966107View attachment 1966108View attachment 1966110View attachment 1966111View attachment 1966112View attachment 1966114View attachment 1966116View attachment 1966117
Wacha kelele miiingi😄😄😄😄nilikuuliza tu Kama unajuwa huku🤣🤣🤣

merlin_154628184_68792532-b38c-4c94-bffb-f0c945320b2f-jumbo.jpg


images (31).jpeg


images (30).jpeg


images (29).jpeg


images (28).jpeg


images (27).jpeg


images (26).jpeg


images (25).jpeg


images (24).jpeg


images (23).jpeg


images (22).jpeg


images (21).jpeg


images (20).jpeg


images (19).jpeg


images (18).jpeg


images (17).jpeg


images (16).jpeg


images (14).jpeg
 
Tatizo la njaa ni la muda tu. Jinsi tunavyozidi kukuwa kiuchumi ndivyo tunavyozidi kupunguza njaa na umasikini. Baada ya miaka kumi hutasikia tatizo la njaa Kenya.
Njaa ikiisha Kenya nitamuomba Mungu anitoe roho
 
Acha basi kuongopa we jamaa, kwanini utumie Hadi uongo ili kuhalalisha upumbavu wako, is Kumasi even closer to Arusha in terms of development.? Au kelele tu na wewe uonekane .? Acra na Kumasi ni sawa na Mwanza na Arusha tu.. hao wanatushinda labda wachezaji wa mpira
daah....Mkuu unalinganisha hii takataka na accra🤭🤭🤭🤭

images (10).jpeg
 
Kaka, haya Mambo Kuna watu waliokabidhiwa majukumu na mamlaka lazima tuheshimu hilo, kwanini kuingilia vitu ambavyo huna weledi navyo?, Kujua Mambo machache katika hilo eneo haikupi uhalali wa kuzungumza Kama mtaalamu.
1)Ni chanjo ipi duniani iliyotolewa baada ya kufanya serological test?, hivi unajua gharama ya kufanya serological test Moja?, hivi ujajua ni pesa kiasi gani itatumika na muda gani kuwamaliza watanzania wote?
2)Duniani kote chanjo zote hutolewa kwa watu wote bila kujali kwamba ni sero-positive au sero-negative, hilo unalotaka wewe limeshafanyika wapi?.
3)Habari ya mRNA, huko inaonekana huna unalojua unajaribu kupapasa tu, haina uhusiano wowote na tunachozungumza. Chanjo inaweza kutengezwa kwa kutumia ama
1)Genetic material ya Virus(mRNA)
2) Outermost cover of virus
3)Kirusi kizima kilichovunjwa nguvu(attinuated virus)
Haijalishi ni material gani yametumika, lengo ni kuamsha kinga ya mwili, Sasa wewe kutumika kwa Genetic material kunakupa shida gani, tena chanjo zilizotengenezwa kwa kutumia Genetic materials ni salama zaidi kuliko zilizotumia "Live viruses".

Kaka wacha kuchezea "professions za watu, Baki kwenye eneo lako utaeleweka na kufanya vizuri zaidi, Mambo ya Afya waachie WHO na Wizara ya Afya tafadhali.
We ungekaa na kutulia! Huna ujualo, wewe ni bendera.

Kama kusingekua na mitazamo mbadala, na wote wangebaki kuwa bendera, leo dunia isingepiga hatua katika nyanja nyingi za maendeleo.

Usiwe bogus wa kukubali tu kwa kigezo cha 'taaluma'.

Jitahidi kujiongeza na kujiuliza maswali magumu.
 
Acha basi kuongopa we jamaa, kwanini utumie Hadi uongo ili kuhalalisha upumbavu wako, is Kumasi even closer to Arusha in terms of development.? Au kelele tu na wewe uonekane .? Acra na Kumasi ni sawa na Mwanza na Arusha tu.. hao wanatushinda labda wachezaji wa mpira
Blind patriotism, sikulaumu.
 
Maisha ya mtanzania wa kawaida ni ya shida sana. Ndio maana GDP yao ni $60b. View attachment 1966330
Tanzania case yake ni ya kiaina; wanasema hawana ufisadi, zero migogoro, ardhi kubwa n fertile, sufficient rainfall., lakini ni mifukara., hapa kama sio laana ni ujinga ama tunadanganywa mahali.., hawa wafanyiwe tambiko tu, wameganda akili na wako kwenye giza 😂 😂 ., Kenya viongozi watiwe mbaroni wawekwe jela., hao ndio tatizo.,
 
Back
Top Bottom