Kaka ninarudia kusisitiza kwamba ni Bora ukaheshimu utalaamu, jaribu kubaki katika eneo lako ulilosomea, wacha kuokotezaokoteza reports na kuhisi unauelewa mpana katika eneo la Afya, hata sijui Kama unajua hatua mbalimbali zinazopitiwa hadi hizo research reports zikubalike.
Kaka hili eneo la Afya ninahisi hulijui isipokua unajisomea vijarida mbalimbali tu, kuwa makini Sana na "partial knowledge".
Tofautisha Kati ya "Natural immunity na "hard immunity", ninahisi unachanganya Kati ya hivi vitu viwili.
Tofautisha Kati ya "Active immunity vs passive immunity"
Ukizungumza habari ya "Natural immunity", hata chanjo zinakinga kwa kuitegemea "Natural immunity".