Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Courtesy of bus world and Tanzania regional bus View attachment 1960738View attachment 1960739

Irizar i6s zero km,
Price tag £350K hapo ukipiga na kodi unafika £700K
Noma sana mkuu,
Meanwhile club Namba moja Kenya Gor Mahia wanasafiri humu
IMG_2909.jpg
 
Yanga haitapewa ubingwa, Yanga itachukua ubingwa cz they deserve more, angalia mpira inaocheza Yanga kwa ss ni tofauti kabisa na timu za vpl, inacheza kibingwa, pasi zinapigwa mpaka nguo zinaungua kwa minyooko ya kipapaa
Hahahaha.... Uchaguzi is around the corner.. lazima watanzania wafurahi.. Simba atafanya vizuri kimataifa.
Yanga atashinda nyumbani.... I can literally see it unfolding with time

1.2.3 Action
 
Hawa watu wanakuanga na excuses za kipuzii sana. Does it means hizi gorofa zetu refu ukanda huu zitaacha kuwa Kenya manake zimejengwa na our able private sector? Kufikiria ni ngumu kwa hawa majirani wetu.
Wakenya huwa hamna akili ya kuelewa mambo, hujaambiwa kwamba hazipo Kenya, umeambiwa kwamba utaje maghorofa mliyojenga kwa pesa zenu kama wakunya na cc tutaje tuliyojenga kwa pesa zetu zen tutaangalia nani fukara asiye na uwezo wa kujisimamia yeye kama yeye.
 
Wakenya huwa hamna akili ya kuelewa mambo, hujaambiwa kwamba hazipo Kenya, umeambiwa kwamba utaje maghorofa mliyojenga kwa pesa zenu kama wakunya na cc tutaje tuliyojenga kwa pesa zetu zen tutaangalia nani fukara asiye na uwezo wa kujisimamia yeye kama yeye.
Unajismamia na almost half of your GDP are generated from funding😂😂😂
 
Gari si hoja, Gor watembea na gari ya maziwa (Tuzo) Azam machine kubwa ya Irizar....Lakini uwanjani ni Gor:10-Azam:0.

That Poor Gor can’t beat anyone nowadays. Just a poor team,
Kwa sasa Timu namba moja Kenya ni sawa na Biashara United hapa Tz, au Gwambina FC
 
Wakenya huwa hamna akili ya kuelewa mambo, hujaambiwa kwamba hazipo Kenya, umeambiwa kwamba utaje maghorofa mliyojenga kwa pesa zenu kama wakunya na cc tutaje tuliyojenga kwa pesa zetu zen tutaangalia nani fukara asiye na uwezo wa kujisimamia yeye kama yeye.
Kwani hzo zenye zipo zilijengwa na pesa ya kitanzania? Mbona unafikiria kama popo? Sisi serikali yetu hiwezi fanya kazi za private sector. Serikali iko na kazi ya kuunda miundo mbinu ambazo zinamfikia kila mkenya kama barabara, meme, hospitali
 
Kwani hzo zenye zipo zilijengwa na pesa ya kitanzania? Mbona unafikiria kama popo? Sisi serikali yetu hiwezi fanya kazi za private sector. Serikali iko na kazi ya kuunda miundo mbinu ambazo zinamfikia kila mkenya kama barabara, meme, hospitali

Serikali ya Kenya is just broke,
It can’t build a 10km road without loan or grant.
 
That's why you just love to engage with private sector,,,your biggest club Simba Kama si muhindi dewji sai Ingekuwa worse than gor
Si Azam ni
That Poor Gor can’t beat anyone nowadays. Just a poor team,
Kwa sasa Timu namba moja Kenya ni sawa na Biashara United hapa Tz, au Gwambina FC
Kitu najua bora kutoka Azam ni Energy drink...Ingawa kuna wale wanaitumia kama viagra.
images-2.jpg
 
Back
Top Bottom