Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Poor but hatupewi misaada ya chakula karne ya 21.

Ndio maana mnashindia mboga za majani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈ
HOW TO HELP PEOPLE IN TANZANIA | THE BORGEN PROJECT
The donation goes towards nutritious food, clean water, school and supplies and maybe even a goat for their family. A third organization to which you may want to consider donating is Solar Sister...

NB - hapo kwa 'even a goat'... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hawa wazungu hawana adabu! 🀣
 
hakuna cha kawaida in reality mna maisha magumu kupitiliza,kwa hiyo location almost 60% ya watu ni vibaka kuanzia madereva wa daladala,boda boda n.k..

hao vibaka wangekuwa hapa bongo kwa jinsi wanavyotaka kuiba kizembe wangeshakuwa maiti,hao raia wa pembeni wasingewaachia.
Hivi pia wataka kusema hakuna wezi Bongo, duh, nyie vilaza kweli? Itakuwa Brazil, watalii walifanyiwa wakati wa World Cup, tena mchana kweupe, sisi Afrika ndio tushangae. Wewe kweli bado umefungiwa nyumbani kwenyu, toka utembee! 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣
 
what comes to mind when I here the word mwanza is nyegezi🀣🀣🀣,,,the rest are history

Apart from kiswahili miiingi and trolling kwa ground there's no successful project in tanzania.am not biased like you,kwa brt na bridges ndio mmejaribu kidogo

Unapigia mbuzi guitar bure πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ idiots are wired to listen to what pleases their deceived minds., ukweli ni dhulma kwa mtanzania., wahurumie wakue na wikendi njema angalau, usiwatese na ukweli.
Size yenu nipo hapa haya nawahitaji haraka sana mfike, mlete complain zenu twende sawa
 
Kenya ni Internet user uchwara wana beep tu ,yani wanawasha net dakika kumi uwaoni hata humu jf tunashuhudia ,mkenya hawezi kukaa online kwa masaa 8 kwa siku
Masaa manane, sasa huko ni kukosa kazi za kufanya, ambia serikali yenyu iwape kazi, mtoke vijiweni penye free Wi-Fi! 🀣 🀣 🀣 🀣
 
πŸ‡°πŸ‡ͺ
Screenshot_20211002_132830.jpg

Screenshot_20211002_132802_com.android.gallery3d.jpg

Screenshot_20211002_132753_com.android.gallery3d.jpg
 
Shukrani Mkuu, halafu nimeona wanaanza kutumia haya maeneo Vizuri. Juzi juzi Kinondoni walifanya Tamasha la ufukweni Pale Coco Beach kwenye mihogo.

Leo ilala wanafanya Ilala Kanivo, OKTOBOA pale Ufukweni karibu na Gumkhan. Jiji linaishi kwa sasa.


Bila kusahau vinjwaji natural kabia Madafu pia yalikuwepo.


View attachment 1960109

View attachment 1960110


View attachment 1960111
View attachment 1960112
View attachment 1960113
View attachment 1960114
View attachment 1960115
View attachment 1960116
πŸ™ŒπŸΏ Picha zimesimama wima, safi sana...

Vitu kama hivi ndio radha halisi ya hii thread ilipo.
πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
 
Back
Top Bottom