Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hvi naomba kuuliza wanaposema wanawake wananyimwa haki zao ni kama hazi gani?
Tatizo la wanawake wanasiasa wanadhani wanawake waliopo mitaani ni wajinga wanawake wanataka maendeleo ya nchi ambayo ndiyo ukombozi wa kweli ,hiyo anayo fanya mama ni ujinga mtupu ambao upo kunufaisha wanawake wachache wapigaji kisiasa kwa kupitia migongo ya wanawake
 
Mzee upo wapi? wanawake wangapi wanadhulumiwa mirathi ya waume zao Tanzania? Umiliki ardhi kwa wanawake ukoje in general? Huko Usukumani ukiwa mjane wanakuzushia uchawi na kukuua! Gender inequality ipo and very evident Tanzania na Africa at large!
Hayo ni matokeo ya siasa chafu na uongozi mbovu hapo tatizo siyo jinsia
 
Kulikuwa na demokrasia ipi wakati wa Nyerere? Kuwa na chama kimoja ndio demokrasia. Hakukuwa na democrasia wakati Nyerere wala wakati wa Mwinyi.; In general hakuna demokrasia hapa afrika bali kuna ka-uhuru kiduchu ka kudanganyia wananchi kwamba tuna demokrasia!

Democrasia sio lazima viwe vyama vingi,
Muhimu zaidi watu Wakubaliane (wengi wape)
Ndio maana ya democracy, hata kama mkiamua kuwa na Rais wa maisha kama Xi Jinping au Vladimir Putin maadam people have agreed that’s democracy.
 
Mkuu, Tanzania haina dini, hatuongozwi kwa misingi ya dini, ndio sababu tunatumia Katiba ya nchi ambayo inasisiriza usawa, kazi ya rais ni kuilinda na kuitekeleza Katiba ya nchi bila woga Wala haya.

Katika nchi zenye kuongozwa kwa misingi ya dini ndiko ambako haya maandiko ya vitabu vya Mungu yanaweza kuongizwa katika mijadala ya kitaifa, lakini katika nchi zetu hizi ambazo ni "secular countries" maandiko hayo yabaki kuwa ni matumizi ya mtu binafsi,

Nchi haina dini ila kuna tamaduni zetuu mzee ndio maana huwezi kuskia haki za mashoga hapa au sijui binadamu kafunga ndoa na mnyama, demokrasia ni complicated sana , kuna mtu humu alikua anadai kuwa watz wengi hatuna elimu ndio maana viongozi wanatulalia, ukimuuliza wachinaa jee ambao wako more educated kuliko sisi mbona wanatawaliwa na chama kimojaa, na wameridhika na uongozi wao ilhali nchi za ulaya zinawasema kwamba hawana uhuru Wala demokrasia nchini kwao, tatizo tushakariri akisema kitu mmarekani kipo sawa hakifai kupingwa
 
Unaniquote mara 100 100 una maana gani? Una lengo gani na hii attention unayoiandaa? Unataka nini kutoka kwangu? Kwanini Unaniquote wakati sijaongea na wewe? Kwani hujaona wanaume wengine wa kuwaquote? Halafu kwanini unanichekeachekea hovyo? Nataka kujua kwanini unajihisi happy kutaka mazoea na mimi?

Hujakolezwa bado au umeachika? Aisee niondolee laana bro! Situmii!
Na lengo la kukutembezea moto huko kwenye mtaro wako.
 
IMG_1919.jpg
 
Nchi haina dini ila kuna tamaduni zetuu mzee ndio maana huwezi kuskia haki za mashoga hapa au sijui binadamu kafunga ndoa na mnyama, demokrasia ni complicated sana , kuna mtu humu alikua anadai kuwa watz wengi hatuna elimu ndio maana viongozi wanatulalia, ukimuuliza wachinaa jee ambao wako more educated kuliko sisi mbona wanatawaliwa na chama kimojaa, na wameridhika na uongozi wao ilhali nchi za ulaya zinawasema kwamba hawana uhuru Wala demokrasia nchini kwao, tatizo tushakariri akisema kitu mmarekani kipo sawa hakifai kupingwa
Nani kakuambia Katiba yetu inaruhusu ushoga?, Kukubali kutawaliwa chini ya mifumo isiyokua ya demokrasia haifuti ukweli kwamba hiyo sio demokrasia, sio lazima kuwa na demokrasia kwa viwango sawia, ila lazima ukubali kwamba ktk hilo hujafanya vizuri
 
Nani kakuambia Katiba yetu inaruhusu ushoga?, Kukubali kutawaliwa chini ya mifumo isiyokua ya demokrasia haifuti ukweli kwamba hiyo sio demokrasia, sio lazima kuwa na demokrasia kwa viwango sawia, ila lazima ukubali kwamba ktk hilo hujafanya vizuri

Inakaa Hujanielewa masta
 
Ninasema kuwa elimu yangu ni ya juu kwasababu kwanza nimeipata kutoka kwenye world-renowned universities. Two Ivy league institutions and one top European university. Na hapo sijaongeza vyuo nilivyosoma as part of my study abroad pursuits. Na pia Nimefanya kazi kwenye faculty zilizobobea kwenye filed zao duniani. Haijalishi niseme nilisomea kitu gani chuoni, that alone makes my education of a better quality than yours will ever be. Lakini lengo langu si kufanya comparison ya elimu yangu na yako, even though unanilazimisha nifanye comparison.
Acha kujimwambafy bro!

"Ukiona ni lazima ujisemee mwenyewe nini ulichofanya basi ujue, ujafanya kitu.

Vitu vinajieleza, vinajiuza"

Watu tangu secondary wameenda 'shule za wenye vipaji maalumu' achie huko mbele.
 
Back
Top Bottom