Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hoja kama hii ni Kielezo tosha kuwa watanzania wengi elimu hawana. Tatizo liko wapi nikimuongelea marehemu? Mnaongea kuhusu Yesu na Mungu kila siku mmeshawahi kuwaona Kwa macho? Kama huwezi kuhumili hoja ya mtu mwingine endelea na mambo unayoweza kuhumili.
Kwahiyo Mungu ni marehemu?
Huyo alieharibu pesa yake kukuzungusha kwenye hivyo vyuo huko nje unavyosema umesoma bora hata angezinywea gambe apate vibes

Wewe ulichopata kutoka kwenye elimu yako ni namna ya kutetea mapenzi ya jinsia moja tu sababu ndio kitu naona una interest nacho kubwa sana, umeshapakuliwa sana huko sasa unataka wote tufanane?
 
Mmefukuzwa Rwanda, kunani jirani na mnadai hela ipo???

Tanzania removed from African Volleyball Championship
10/09/2021 Tanzania is understood to have failed to pay $1,000 participation fee and $50 per person per day for the 12 days meant for accommodation. A statement from CAVB said that the team's removal is in accordance...

Mchina aje, asije???

IMG_1913.jpg

IMG_1914.jpg
 
Je, nchi zote "internationally" ziliruhusiwa kupeleka wawakilishi wao katika kutafuta hiyo tafsiri? Kama nchi zote hazikushirikiswa basi hiyo demokrasia inajikaanga kwa mafuta yake yenyewe.
Mbona hili swali hatuliulizi katika vipengele vingine Kama vile "Peace index?" au "Corruption perception index"" au " Economic reports" zilizoiweka Tanzania katika kundi la "Middle income countries?.

Vigezo na mfumo uliotumika ni uleule uliotumika katika kipengele cha demokrasia, vipi tunakubali na kujisifia pale "International reports zinapotuweka pazuri, lakini tunaanza kuwa na mashaka pale tunapoambiwa kwamba hatufanyi vizuri?

Kwa miaka yote Tanzania imekua ikiongoza katika kipenge cha Demokrasia, wengi tulikua hatuhoji, ila kipindi hiki tumeambiwa kwamba huko hatufanyi vizuri, tumeamza kulialia, katika kipengele cha demokrasia hatukufanya vizuri.

Kupanga ni kuchagua, tuliamua kujenga uchumi kwanza kwa gharama ya kufifisha demokrasia, ninadhani ni maamuzi sahihi, wakati mwengine ninayaunga mkono pia, ila tusikatae tunapoambiwa hatufanyi vizuri katika upande huo.

Nyerere alichagua kuanza kujenga demokrasia kwanza, matokeo yake uchumi uliyumba Sana, hatukupinga tulipokua tunawekwa katika kundi la nchi masikini zaidi duniani (LDC), lakini ktk demokrasia tuliwekwa juu Sana, vipi Sasa hivi katika uchumi tunawekwa juu lakini ktk demokrasia tunawekwa chini tunalalamika?
 
Huyo kiongozi anayetaka usawa maandiko anayoyaamini yanamkataza kutaka hicho kitu, so anataka kwenda kinyume na Mungu wake? Kitendo cha mwanamke kuzaa tu tayari ni gender inequality, sasa wafanye mpango wanaume nao wazae.
Mkuu, Tanzania haina dini, hatuongozwi kwa misingi ya dini, ndio sababu tunatumia Katiba ya nchi ambayo inasisiriza usawa, kazi ya rais ni kuilinda na kuitekeleza Katiba ya nchi bila woga Wala haya.

Katika nchi zenye kuongozwa kwa misingi ya dini ndiko ambako haya maandiko ya vitabu vya Mungu yanaweza kuongizwa katika mijadala ya kitaifa, lakini katika nchi zetu hizi ambazo ni "secular countries" maandiko hayo yabaki kuwa ni matumizi ya mtu binafsi,
 
Wakati huo huo hyo green space ikichimbwa pajengwe jengo hao mnakimbilia Jf na twitter "the most beautiful and one of the most impressive in East and Central Africa"
nooo people always complain thats why we even have a green belt movement
 
Mbona hili swali hatuliulizi katika vipengele vingine Kama vile "Peace index?" au "Corruption perception index"" au " Economic reports" zilizoiweka Tanzania katika kundi la "Middle income countries?.

Vigezo na mfumo uliotumika ni uleule uliotumika katika kipengele cha demokrasia, vipi tunakubali na kujisifia pale "International reports zinapotuweka pazuri, lakini tunaanza kuwa na mashaka pale tunapoambiwa kwamba hatufanyi vizuri?

Kwa miaka yote Tanzania imekua ikiongoza katika kipenge cha Demokrasia, wengi tulikua hatuhoji, ila kipindi hiki tumeambiwa kwamba huko hatufanyi vizuri, tumeamza kulialia, katika kipengele cha demokrasia hatukufanya vizuri.

Kupanga ni kuchagua, tuliamua kujenga uchumi kwanza kwa gharama ya kufifisha demokrasia, ninadhani ni maamuzi sahihi, wakati mwengine ninayaunga mkono pia, ila tusikatae tunapoambiwa hatufanyi vizuri katika upande huo.

Nyerere alichagua kuanza kujenga demokrasia kwanza, matokeo yake uchumi uliyumba Sana, hatukupinga tulipokua tunawekwa katika kundi la nchi masikini zaidi duniani (LDC), lakini ktk demokrasia tuliwekwa juu Sana, vipi Sasa hivi katika uchumi tunawekwa juu lakini ktk demokrasia tunawekwa chini tunalalamika?
Kulikuwa na demokrasia ipi wakati wa Nyerere? Kuwa na chama kimoja ndio demokrasia. Hakukuwa na democrasia wakati Nyerere wala wakati wa Mwinyi.; In general hakuna demokrasia hapa afrika bali kuna ka-uhuru kiduchu ka kudanganyia wananchi kwamba tuna demokrasia!
 
Back
Top Bottom