Na hapa tuseme nn sasa😛😛😛😛
shifting gears!! unaongea tu juu Bora watu wanaongeaWho brought that phrase "the will of God"
Pumbavu wewe hapo ungekuwa na akili ungeelewa namaanisha nn, wanatengeneza matatizo alafu wanaandaa solutions ambazo zitawa favour wao.shifting gears!! unaongea tu juu Bora watu wanaongea
Wenye akili tumeshajua na ndiyo maana tumebaki na misimamo yetu, tunachuja elimu waliyotupatia tunaongezea na elimu za mababu tunakuja na solutions.@thebest007 Kama hii akili uko nayo ndio inaweza leta mabadiliko hapa Africa heri tubaki na yao tu,,,nyinyi mbona msitengeneze hiyo matatizo Kisha iwaletee favour
Na solution yenyewe ni kwamba hakuna the so called democracy duniani rather it still remains on paper.@thebest007 Kama hii akili uko nayo ndio inaweza leta mabadiliko hapa Africa heri tubaki na yao tu,,,nyinyi mbona msitengeneze hiyo matatizo Kisha iwaletee favour
Wenye akili tumeshajua na ndiyo maana tumebaki na misimamo yetu, tunachuja elimu waliyotupatia tunaongezea na elimu za mababu tunakuja na solutions.
Yani unaposema gender inequality unamaanisha nn hasa hapo
Hvi geza naomba nikuulize swali kutokana na maumbile na akili tulizopewa hvi ni kweli mwanaume na mwanamke wanaeza kua na haki sawa?
yes why not? some countries r taking the lead!Hvi geza naomba nikuulize swali kutokana na maumbile na akili tulizopewa hvi ni kweli mwanaume na mwanamke wanaeza kua na haki sawa?
Watz waliochanjwa hawafiki hata 0.0001% na hawatoongezeka mana cc co mbuzi wa kafara kama Wakenya.na vile sai mnadungwa chanjo mtu hawezi amini mlikuwa na msimamo hapo hawali,,,last year I remember every Tanzanian was like "mungu ameponya uvimbe kumi na tisa katika nchi yetu"
Huyo kiongozi anayetaka usawa maandiko anayoyaamini yanamkataza kutaka hicho kitu, so anataka kwenda kinyume na Mungu wake? Kitendo cha mwanamke kuzaa tu tayari ni gender inequality, sasa wafanye mpango wanaume nao wazae.Hvi geza naomba nikuulize swali kutokana na maumbile na akili tulizopewa hvi ni kweli mwanaume na mwanamke wanaeza kua na haki sawa?
Yani swala la haki sawa halitakuwepo mpaka dunia itasmama kwasababu alietuumba hakuumba hvoHuyo kiongozi anayetaka usawa maandiko anayoyaamini yanamkataza kutaka hicho kitu, so anataka kwenda kinyume na Mungu wake? Kitendo cha mwanamke kuzaa tu tayari ni gender inequality, sasa wafanye mpango wanaume nao wazae.
Yani swala la haki sawa halitakuwepo mpaka dunia itasmama kwasababu alietuumba hakuumba hvo
Best president ever
naskia mlimaliza dozi yote,, mama kaendea ingine USA juzi alafu nyuma yake gwiji boy baada ya kuonja sindano ya kwanza anashauri wanzio wasiende wadungwe😄😄😄.more like a comedyWatz waliochanjwa hawafiki hata 0.0001% na hawatoongezeka mana cc co mbuzi wa kafara kama Wakenya.