Vumbi tupu cheki down kulivyo
inakaa ugandaSasa hizi ndo nyumba bora?Magotofa ya Udongo... Kenyans please anzeni kujenga vitu bora... Haya magorofa ni karibu sana na nyumba zinazojengwa Bunju, Kimara na Mbezi kwa thamani...
Nitanunua hii hapa Tz, ili mradi iwe na iwe na safety ya uhakika.Very soon tunaanza kuexport magari tanzania😂View attachment 1949474
Hivi kwanini ufukwe wa koko wameacha uchafu ndani ya maji na nje ya maji ,kwanini wasiondoe matumbawe yote ndani ya maji na majani eneo la kuogerea kisha wamwage mchanga safi mbona hivyo vitu vinawezekanaLeo siku nzuri ya kwenda Mbudya Island in Dar es slaaam.
View attachment 1951981
View attachment 1951982
View attachment 1951983
Hivi kwanini ufukwe wa koko wameacha uchafu ndani ya maji na nje ya maji ,kwanini wasiondoe matumbawe yote ndani ya maji na majani eneo la kuogerea kisha wamwage mchanga safi mbona hivyo vitu vinawezekana
Leta hayo maeneo aerial view tuyaone hayo yenu ya vijaeMagotofa ya Udongo... Kenyans please anzeni kujenga vitu bora... Haya magorofa ni karibu sana na nyumba zinazojengwa Bunju, Kimara na Mbezi kwa thamani...
Oya geza nipostie ile picha uliyo post ya wale jamaa wa ccm wamepaka lipstick naona imefutwa humu sijui ni wewe umeifuta

Hivi kwanini ufukwe wa koko wameacha uchafu ndani ya maji na nje ya maji ,kwanini wasiondoe matumbawe yote ndani ya maji na majani eneo la kuogerea kisha wamwage mchanga safi mbona hivyo vitu vinawezekana
Barabara ya kupaka hyoAkili za jua kali![]()


ukiwa inchi ipi?Tumetumia lakini ya umeme
Ndoto za alinasiTumetumia lakini ya umeme


