Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Toll ya mchina hapo ndipo mchina atawadinya kisawasawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] 30 good yrs
Ndiyo maana nimeona ilo jengo limekaa kama kung fu master[emoji1787][emoji1787] komora096 ukuje huku kuna jambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chinese art in kenya
 
Hii barabara ni zaidi ya 1300km from Dar na ni Paved, Marked, na iko na standard safi. Unakuta jitu linakuja kuropoka eti we have 9000km of paved roads? Duh. Ikifika sirari inakamilisha km ngapi?, Ikikata kwenda Bunda km ngapi, kwenda msoma mjini km ngapi?, Kwenda Nyamwaga km ngapi, kwenda Rorya?

Dah acha tu tuwachore.
Norway???

Hapana Ni Mara region Kirumi Bridge.

View attachment 1954501
 
Magotofa ya Udongo... Kenyans please anzeni kujenga vitu bora... Haya magorofa ni karibu sana na nyumba zinazojengwa Bunju, Kimara na Mbezi kwa thamani...
Sasa hizi ndo nyumba bora?
Danganyika middleclass hakuna ata gorofa inakaa slum.
3-images-9.jpg
 

Attachments

  • 1-images-9.jpg
    1-images-9.jpg
    64.5 KB · Views: 18
  • 2-images-9.jpg
    2-images-9.jpg
    71.2 KB · Views: 22
Hivi kwanini ufukwe wa koko wameacha uchafu ndani ya maji na nje ya maji ,kwanini wasiondoe matumbawe yote ndani ya maji na majani eneo la kuogerea kisha wamwage mchanga safi mbona hivyo vitu vinawezekana

Walisema watapaboreshaqa ila bado hawajamaliza kujenga
 
Back
Top Bottom