Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dawa ya moto ni moto mamaee, hawa matutusa ni kwenda nayo mpera mpera mwendo wa mateka mpaka yafutike thread irudi kwenye heshima yake!

Nipo na nyie Bega kwa Bega kmnyokoo ninyi
 
Afu we choko tuheshimiane, hii thread unaiharibu kwa usenge wako afu moods wanakuangalia tu, hivi vinuka mkojo vilivyoingia jf kwa free WiFi za kwenye restaurants vina ondoa heshima ya hii forum
Choko ni aliyekuzaa mbwa wa kienyeji ..endelea na ligi si umesema nakuogopa?

Ni hivi nimekuwa nawanyoosha humu tangu futuhi akiwa hai na hata baada ya kuwa chini ya kifusi..

Ukipotosha au kumshambulia madam nanyooka na wewe,kosoa kwa staha otherwise you gonna face the quenceauences..

Zama za utaahira zilishazikwa Chato,tulizeni makalio yenu .
 
it takes more than buying jets! Mama knows what tourism promotion is! Yule alikuwa fundi mjenzi ila kwenye biashara haikuwa field yake! So endeleeni kumponda mama humu na mimi naponda kule! It takes the whole package AND NOT mihemko! From $2.5 bln before to around $500 mln 2020 and yet tozo zilibaki! Yaani kama si soko la dhahabu kupanda sijui tungekuwa wapi!
Wewe ujui kitu jamaa yangu unapayuka sana
 
Air Tanzania haiendi tena Chato kulikoni? Si alijenga mahoteli kule na kujenga ferry? Na kuanzisha Chato-Burigi?


















2940252_Screenshot_20210924-135118_Flightradar24.jpg
Delila ndiyo sababu
 
Bora hata slaa! Kuna watu wamelala huko ubalozini...

Tatizo ni raisi SSH,,, raisi goigoi huzaa serikali goigoi
Mimi tangu nigundue kuwa kifo cha mzarendo no1 kina mikono ya delila siwezi kuwa na imani naye tena
Sasa hivi tunasubiri malikia wa tembo a achiwe kutoka jela
 
Jamaa huyo ni mbaguzi alafu anachuki zisizokua na sababuu mtu utasemajee jpm alikuaa ana mawazo ya kibishara wakati kila kona alikuaanaboresha miuondombinu ili kutengeneza mazingira mazuri ya biashara
Hivyo ndiyo vitu viwili vilivyo mchafua hata mama CHUKI KWA JPM NA UNAFIKI WA KIFISADI
 
Back
Top Bottom