game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,231
- 26,732
Ume-consider tourism aspects?Viability Mkuu, that Mombasa thing is highly overrated, bakharesa angeshaanza hiyo route kitambo sana, no wonder hakuna flights za Mombasa to the world kama ilivyo KIA na Z’bar
kabisa ni wakuwapuuza haoMnaoleta polititricks humu ndani mnazingua page inakosa mvuto [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
MY TAKE
Yaani kama mabalozi wote wangekuwa active hivi....!!
Huko mtu aliongea mambo ya jinsia na corona kama corona imeanza jana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha ukorofiHuko mtu aliongea mambo ya jinsia na corona kama corona imeanza jana.
watu wanamchukia mama wako so wrong u can't be the master of all trades!
JPM alikuwa mzuri kwenye infrastructure ila mama ni mzuri kwenye trade/business/commerce! Yaani budget yake imegusa kila mahali (6 months in power) ila watu wanampinga! Na mama kamrudisha Prof. Mbarawa Ujenzi na Uchukuzi maana alijipambanua vizuri alipokuwa pale!
Jamani mambo mazuri hayataki papara!
UNWTO summit 2022 to be held in Arusha!
MY TAKE
Kuna wengine walizuia kabisa summits na conferences na wakati huohuo wakijua sehemu kama Arusha na Zanzibar zikitegemea utalii unaoingiza karibu $4 bln (pamoja)! isitoshe wakaanzisha mbuga vijijini kwao na kuwekeza pesa ndefu kwao! Pia alitoa ruksa wamachinga kutandika biashara zao mbele ya maduka yanayolipa kodi stahiki! Truth to be told biashara was purely not his trade!
Air Tanzania haiendi tena Chato kulikoni? Si alijenga mahoteli kule na kujenga ferry? Na kuanzisha Chato-Burigi?Sisi tukimkosoa maza unaanza mara sijui chato gang mara sijui tunamdharau mama mara mfume dumee ila wewe unapayuka tuu we ndio unaleta fikra zako za ubaguzi umu, mtu mzima ila una akili kama za panzi bana
Hivi Silaa si anawakilisha nchi zaidi ya moja kama balozi [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Balozi Mbelwa anachakalika kweli kutafuta masoko,majitu mengine yananenepeana tuu huko balozini..
Mtu kama Slaa kasaidia nini toka amekuwa balozi wetu Canada?
Na analala tuu huko uzee umeshamuelemeaHivi Silaa si anawakilisha nchi zaidi ya moja kama balozi [emoji23][emoji23][emoji23]
Then ukaua utalii unaotuingizia 17% ya GDP yetu sio? Corona imeanza baada ya Samia kuingia madarakani? Mbona asitoe relief tangu akiwepo?Mtu unasemaa ana wazo la biashara ilhali alikuaanaboresha bandari za Tanzania na reli zilizokua zimekufa ili kupunguza dominace ya bandari ya mombasa in East Africa, nishakumbia chuki zako zimepunguza uwezo wako wakufikiri, mtu huyo huyo aliamua kujenga jnhp ili gharama za umeme zije chini ili kuvutia wawekezaji
Mtu unasemaa ana wazo la biashara ilhali alikuaanaboresha bandari za Tanzania na reli zilizokua zimekufa ili kupunguza dominace ya bandari ya mombasa in East Africa, nishakumbia chuki zako zimepunguza uwezo wako wakufikiri, mtu huyo huyo aliamua kujenga jnhp ili gharama za umeme zije chini ili kuvutia wawekezaji
Then ukaua utalii unaotuingizia 17% ya GDP yetu sio? Corona imeanza baada ya Samia kuingia madarakani? Mbona asitoe relief tangu akiwepo?
Aliauaje utalii ebuu elezaa wakati before corona revenue ya utalii ilikua over 2b $ in his era tukampita mpaka mkenya kwenye mapato ya utalii
Bora hata slaa! Kuna watu wamelala huko ubalozini...Hivi Silaa si anawakilisha nchi zaidi ya moja kama balozi [emoji23][emoji23][emoji23]
na ndege za AirTanzania.. most time alikuwa anasema tunataka watalii lkn hatuna ndege.. akili gani hizi.. ndo mana nimeamua kununua ndege zetu wenyewe ili tupate watalii wa kutosha
SUMA JKT wakabidhiwa eneo la Kurasini wajenge ukuta acre 54 Sijui sisi wabongo tunafeli wapi kila jengo au mradi tunaweka ukuta gharama ni kubwa na pili unaharibu hadhi ya jengo au mradi husika.
tangu aingie msukumo wake haukua conference tourism ilidorora pili hata Bureau de Change akafunga tatu punguzo la tozo limeombwa siku nyingi sana akakaa kimya!Aliauaje utalii ebuu elezaa wakati before corona revenue ya utalii ilikua over 2b $ in his era tukampita mpaka mkenya kwenye mapato ya utalii