Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,057
- 79,074
kenya ni moja ya nchi iliyopewa msaada wa covid vaccines na UK.. lkn serikali ya UK imesema nchi zote za Africa raia wake wakitaka kwenda UK watakuwa considered as unvaccinated.. think twice!
Hizi nchi mbona zisi-retaliate kwa hawa stupid tories? Waki-impose the same ban kwa UK, wata-lift the ban!