Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

East Africa Commercial and Logistics Center..
vitu vya nchi ya GDP 60-65
IMG_1674.jpg

IMG_1675.jpg

IMG_1677.jpg

IMG_1676.jpg

IMG_1678.jpg


yule anaepingaga miradi flan kuwa haitajengwa, na hili unapinga?..
 
KWA HIYO TUNAMAANISHA KIFO CHA KA TWO RIVERS MALL KIMEKARIBIA AU?
Wakenya muanze kutafuta kingine View attachment 1945397View attachment 1945399View attachment 1945400View attachment 1945402
each year it will drive more than 40 billion U.S. dollars of trade volume, create 20,000 jobs and bring enormous tax revenue to the locality government. Thereafter,the city of Dar-es-Salaam will become an East African trade and logistics center and become a bridgehead for goods entering the East African market.
 
kenya ni moja ya nchi iliyopewa msaada wa covid vaccines na UK.. lkn serikali ya UK imesema nchi zote za Africa raia wake wakitaka kwenda UK watakuwa considered as unvaccinated.. think twice!

Kupewa msaada wa chanjo haimaanishi nchi za Africa zinaweza dictate UK's terms and conditions about travelling during this period. Wakisema ni hivi, basi ndio hivyo, kama unaona unabaguliwa kivyovyote vile, basi ujijazie mwenyewe. Wale ni wazungu ujue! 🤣
 
Back
Top Bottom