Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hii si Iyumbu Dodoma!

2933290_Screenshot_20210918-190006.jpg
 
mambo mazuri kama
Nyerere Power Plant
BRT
SGR ndefu Africa nzima
Bridges (Selandar, Nyerere, Magufuli)
REA
etc
ndo zitawafanya watu wajiulize tunawezaje kufanya haya yote na GDP yetu ndogo ‘60-65’

GDP yetu kiuhalisia kabisa ni Kati ya 100 na 150$ bn
But let it be maana mashindano ni mambo yakizamani, kinachomatter ni Maisha mazuri kwa wananchi
 
mambo mazuri kama
Nyerere Power Plant
BRT
SGR ndefu Africa nzima
Bridges (Selandar, Nyerere, Magufuli)
REA
etc
ndo zitawafanya watu wajiulize tunawezaje kufanya haya yote na GDP yetu ndogo ‘60-65’
hawa wazee wa kuweka nchi kwenye takwimu nawalivyokuwa hawajishtukii utashangaa siku za mbeleni Tz ikiwa upper middle income halafu ikiwa na GDP 68

hapo ndipo utagundua ni jinsi gani walivyo macomedy
 
For the record, this guy just beat Gatlin, a long Usain Bolt rival..
also Bolt has the world record at 9.58sView attachment 1944061View attachment 1944062
hongereni endeleeni kutia bidii kwenye mbio huko ni bora zaidi sana kwenu ila wakimbiaji waambatane na mafanikio ya kiuchumi binafsi wasiishie kukimbia tu bila faida kwa kukosa kipato cha kutosheleza na mwisho wa siku maisha yao wanayoishi yakawa ya kifukara
 
hongereni endeleeni kutia bidii kwenye mbio huko ni bora zaidi sana kwenu ila wakimbiaji waambatane na mafanikio ya kiuchumi binafsi wasiishie kukimbia tu bila faida kwa kukosa kipato cha kutosheleza na mwisho wa siku maisha yao wanayoishi yakawa ya kifukara
"kukosa kipato cha kutosheleza"? 😂😂😂😂 😂 Unafikiri wanacheza kamare au ni wavuvi wa kambale? 😁
 
Back
Top Bottom