Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio mana nakwwmbia ww ni mafiii...kama unakaa Dar es salaam kaulizie bei mafuta toka 72 mpka 88000 mpka 90000 kwa dum 20 litre, Ngano ya 25 kg now ni 36500 from 28000 ,Ges toka 18000 kwa mtungi mdgo mpka 22000, mtungi mkubwa 51000 toka 46000, usiongee kusu tozo wala mafuta ya taa,petrol na dizel...algu uko apa kupiga matk kama mwehuu
Wewe ni maku,lipa kodi zama za vya bure na uporaji vimeisha..

Uliwahi ona wapi maisha yanarudi nyuma? Hata saruji ilikuwa 5,000 miaka 10 iliyopita saizi ni 18,000
 
wapo tayar jengo jipya la lililotakiwa kuwa wizara ya maji njia panda ya chuo..
wizara ya maji saiz iko dodoma

eneo la wizara ya maji ni zaidi ya hapo mpaka kwenye matanki angalia ukuta wao! Si busara kuwa na mawazo ya kuchukua ardhi ya wizara ukatumia nje ya mipango iliyoainishwa yaani wizara/DAWASA! What if matanki ya kuhifadhi maji hayatatosha maana mji wa Dar unakua! Kama mradi uwe wa DAWASA au wizara ya maji!
 
wapo tayar jengo jipya la lililotakiwa kuwa wizara ya maji njia panda ya chuo..
wizara ya maji saiz iko dodoma
Huyo geza naye sometime dish limeyumba ajui serikali inaenda dodoma hivyo baadhi ya ardhi za dar inabidi zitafutiwe matumizi mapya
 
Huyo geza naye sometime dish limeyumba ajui serikali inaenda dodoma hivyo baadhi ya ardhi za dar inabidi zitafutiwe matumizi mapya
Wacha ujinga Dar inapanuka na huwezi kusema wauze lile eneo strategic! Nimesema DAWASA inapaswa ku-invest yenyewe! Ulikuwa upumbavu wa hali ya juu Polisi kuuza eneo la Oysterbay Police! Thamani ya lile eneo ingeweza kuipatia loan benki yeyote ile na ku-invest yenyewe! Hata Mungu wenu JPM alikandia deal Police waliloingia! Uko short sighted ndo maana akili yako inakuambia kuuza! Taasisi zinapaswa kujiwezesha kwa assets zilizonazo!
 
Pamoja na uzuri wa huu mradi lakini ni muhimu kuzingatia local content

Inajulikana watanzania wengi wamekua mabilionea kwa kuleta mizigo kutoka China na kuuza Tanzania na nchi jirani, kariakoo ni richest District in Tanzania kwa shughuli hii na uchumi unakua vibrant sababu maduka ya kariakoo ni ya wabongo

Sasa huyu mchina analeta maduka 3000 na bidhaa za hapa zitakua ni wholesale kwa bei sawa na China kwa quality ileile au juu zaidi, kama wanataka hii iwe viable na isiathiri uchumi wa importers wa Tanzania maduka 80% yamilikiwe na watanzania sababu wanunuzi kutoka Zambia, Mozambique, Burundi, Malawi, Rwanda, DRC, Uganda wakiona hivi watahama kariakoo sababu wa kariakoo hawataweza shindana na wachina wa ubungo

Hili hali hitaji kukurupuka kwenye sector ya biashara, import ndio kubwa na ndio imeajiri watanzania wengi, ikiwa monopolised na watu wachache (foreigners), wafanyabiashara wengi wa ndani wataumia!

Sababu sisi hatuzalishi, tunategemea tukanunue kwao tuje tuuze tupate kimia 2 maisha yaende, sasa wao wakikaba yote wa tengeneza wao, wasafirishe wao na waje wamuuzie final consumer wao, sasa sisi tuna kazi gani duniani hapa!

Hizo space za maduka zinauzwa, nenda pale Ubungo Plaza ukanunue…..au mnataka mpewe bure kama wazawa?
 
Pamoja na uzuri wa huu mradi lakini ni muhimu kuzingatia local content

Inajulikana watanzania wengi wamekua mabilionea kwa kuleta mizigo kutoka China na kuuza Tanzania na nchi jirani, kariakoo ni richest District in Tanzania kwa shughuli hii na uchumi unakua vibrant sababu maduka ya kariakoo ni ya wabongo

Sasa huyu mchina analeta maduka 3000 na bidhaa za hapa zitakua ni wholesale kwa bei sawa na China kwa quality ileile au juu zaidi, kama wanataka hii iwe viable na isiathiri uchumi wa importers wa Tanzania maduka 80% yamilikiwe na watanzania sababu wanunuzi kutoka Zambia, Mozambique, Burundi, Malawi, Rwanda, DRC, Uganda wakiona hivi watahama kariakoo sababu wa kariakoo hawataweza shindana na wachina wa ubungo

Hili hali hitaji kukurupuka kwenye sector ya biashara, import ndio kubwa na ndio imeajiri watanzania wengi, ikiwa monopolised na watu wachache (foreigners), wafanyabiashara wengi wa ndani wataumia!

Sababu sisi hatuzalishi, tunategemea tukanunue kwao tuje tuuze tupate kimia 2 maisha yaende, sasa wao wakikaba yote wa tengeneza wao, wasafirishe wao na waje wamuuzie final consumer wao, sasa sisi tuna kazi gani duniani hapa!
Umeongea point nzuri sana hapa mzee.
 
Back
Top Bottom